Home
Unlabelled
makamba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mghoooshiii huyooooo!
ReplyDeleteNani zaidi?
ReplyDeleteMakamba au Kandoro?
Mimi namkubali sana Abbas Kandoro, Mgosi Makamba Sound na projo zilikuwa nyingi sana kupita maelezo.
Kandoro Mtendaji, Maneno machache matendo marefu.
BIG Up Kandoro, kuna werevu nyuma yako tunaotambua na kuthamini mchango wako ktk kuunyosha huu mji wetu.
This comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeleteNaona hapo mgosi anamwambia kandoro hongera kwa kuondoa wamachinga,ila machangu na ombaomba wamekushinda
ReplyDeleteMhe.Kandoro namkubali sana,ni kati ya viongozi wa JK wachache wenye kuiletea maendeleo nchi hii,Big up mheshimiwa
ReplyDeleteWho is Kandoro??????????????? and Mkamba???????????????????????? hawawatu feki sana na sijuhi nani anawachagua watu kama hawa....huyu mmoja ndoo mchemshaji kuliko kawafukuza wamachinga sasa wamachinga wameamua kuwarudi mgambo mambo hayo. hiyo yote ni kuwapa madaraka watu ambao hawako fit na post kama hizo kisa eti watu wa Pwani mtakalia hayo hayo nchi inazidi kutokomea na wahindi wanazidi kutajirika tu......
ReplyDelete