hapo zamani zisizo za kale sana kulikuwepo na mashindano ya bendi bora (mashibbota) na mara ya mwisho kufanyika ilikuwa ni mwaka 2001 ambapo bendi nyingi zilishiriki na mshindi akaibuka sikinde ngoma ya ukae. mashibbota yalitoa hamasa kwa bendi kuwa bunifu na kujali maendeleo ya fani. pichani ni twanga pepeta ambao walifanya vizuri ingawa hawakubeba nafasi ya kwanza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kwani Shalamar yuko wapi siku hizi Mr. Michuzi?Mara ya mwisho kumwona alikuwa anakwenda kazini Mawenzi Hotel pale, na bro ulikwa hukosekana mitaa ya YMCA na ofisi za D.Mawalla.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...