
ni miss pilsner ice miss tz, kwani ni kweli kila mdhamini anatanguliza jina la biashara yake kwanza kama ambavyo ilivyo sasa vodacom miss tz....
hongera mdau kwa ushindi naomba ujitambulishe na uthibitishe kuwa ni wewe kupitia issamichuzi@gmail.com ili nikupe zawadi ya picha yoyote utakayo
Michuzi Friday 22 February 2007 bado haijafika, huyu mtu unampa ushindi kabla au.
ReplyDeleteAu ulikuwa unamaanisha Friday 2, 2007?
Ni hayo tu kaka
Asante kwa kazi nzuri, hasa ya kumleta kimouse ndani ya nyumba ya blog hii
Michuzi ni mimi nimeshinda sasa sijui nitafanyaje kuhusu kuchagua picha.reen_minja@yahoo.com.tuwasiliane
ReplyDelete