john terry wa chalsii alipokula buti la uso watangazaji wote walisimama kama anavyoonekana hapa hassan mhelela wa bbc na watangazaji wenzie wa kimataifa juzi asenoo ilipobugia 2-1 toka kwa morino kupitia mtaa uitwao drogba eneo la kadiff. huyu bwana na mwenzie chaaaz ni wana-imarati damu lakini nawafagilia kwa jinsi walivyoweza kuweka unazi pembeni na kula mzigo kama kwamba hawajadoda hadi mwisho. hongereni sana chaaaaaz na hassan - ila poleni mweeee. mtamtumaje mtoto dukani na hela kubwaaaa?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hii ni nyundo mazee. Proud of you boy, keep it up!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...