haijulikani ni dada ama mama wa huyo mvulana lakini dada huyu utamkuta kila siku akiomba mtaa wa samora

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. misupu unapaswa umsaidie umpeleke shule hata ya kusomea kushona nguo(cherehani),ukishindwa hallo at ur boy,mi nitamsaidia kusoma.

    ReplyDelete
  2. sasa we hapo juu si umsaidie wewe.
    Nini kumlazimisha Michuzi amsaidie wakati wewe upo? Msaidie na wewe upate rehema na baraka.

    ReplyDelete
  3. ndiyo maana nimesema hallo at ur boy,misupu nipe contact ya simu yako mi nitamsaidia,lakin wewe ndiyo utakuwa ndiyo counsellor.

    ReplyDelete
  4. NI kweli. KIla Mtanzania ana wajibu wa kumsaidia mwenzake kwa kila kitu. Tusaidiane kama kawaida yetu. Tusizungushe rounds za u-drink tu pale Rose Garden au Breakpoint. Tuwakumbuke na hawa

    ReplyDelete
  5. Sijamaa yetu kila siku anakwenda majuu akiomba mapesa kwa ajili ya watu kama hawa.Sasa wapewe wawasomeshe watoto.Au dege lamaliza zote kwa mafuta

    ReplyDelete
  6. Huyu dada anaonekana fit atafute kazi yakufanya, housegirl, kuuza nyanya, mkaa au anything kuliko kuomba.
    Tusidekeze hiyo tabia. Alafu huyo baba mtoto yuko wapi? why atafute kufanaya ngono kama hana jinsi ya kulea mtoto. Yes anon hapo juu watanzania tusaidiane panapo hitajika lkn.

    ReplyDelete
  7. Hatuna background ya huyo mama. Kakaa hapo akiomba tangu lini na kwa muda gani kila siku? Labda ni kiziwi! Labda kafukuzwa au kafiwa na mumewe; mpenzi wake; na mengineyo.

    Michuzi, wewe ni mwanahabari, give us more beef on this woman!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...