msanii didier awadi toka senegal akipozi na malkia wa taarabu na unyago bi. kidude baada ya shoo yake leo usiku kwenye sauti za busara. bi. kidude safari hii hakupanda jukwaani kwa amri ya daktari kwani hivi majuzi amefanyiwa operesheni ndogo ya 'hernia' hivyo hayuko fiti kufanya shoo. ila afya yake ni njema na anadunda kama kawa...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Didier Awadi, nakupata kila siku kwenye televisheni 3A TELESUD, satellite HOTBIRD.

    ReplyDelete
  2. Mpe pole Bi Kidude kwa kuumwa. Namwombea apone haraka kusudi arudi jukwaani aendelee kutuburudisha na taarab.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...