Home
Unlabelled
singapore
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
wenzenu wanaangalia na size, nyie mnaangalia tu uzuri akishakuwa mrefu basi hata kama ana kijitumbo fulani cha ugali wenzenu wanataka sexy abs kama hizo za huyo dada na little butt kama huyo dada. Wema sepetu ana hips za nguvu, ni mzuri lakini sio wa kwenda kushindania umiss. Mara mpeleke watu wana mianya. Mianya ni huko huko bongo. Wenzenu wakiwa na mianya wanaenda kwa dentist kuziba.Ndio maana huoni wazungu na mianya.
ReplyDeleteSasa hii ni nini tena! Mwanamke hamna hata sehemu ya kushika! Nadhani ndo maana alitupwa nje. Hata kama ni English figure, angalau sehemu sehemu kwenye nyonga uwe na sehemu za kutosha kushikwa! Wema mwanya umemuua! Ulaya hakuna mianya ya hovyo hovyo kama vile!
ReplyDelete