trafiki wakicheza na dereva wa daladala anayetuhumiwa kuvunja sheria. vitendea kazi kibao kwa jeshi hili siku hizi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. huyu dereva leo hana hesabu kwa tajiri, labla kama ilikuwa asubuhi

    ReplyDelete
  2. misupu uko makini sana na kazi yako kwa kweli,kwa jinsi unavyo tuletea picha mbali mbali,kwa sisi tulio mbali na nyumbani tunafarijika,god bless u to spend ur time for this.

    ReplyDelete
  3. Hakuna lolote hapo. Hawana haya hao polisi, wamekula kiapo cha kulitumikia taifa, lakini wanataka rushwa tu toka kwa madereva. Halafu ni kitendo cha kipumbavu kulizuia gari wakati mkosaji ni dereva. Bado polisi Tanzania ina safari ndefu sana kufikia ustaarabu, na common sense.

    ReplyDelete
  4. Hawa jamaa hawana lolote kazi ni kuonea madereva, wanawakamata si wawapeleke panapohusika, kwa nini wanayamaliza njiani? hebu waige mfano nchi za wenzetu ambazo sheria za barabarani zinaheshimiwa kwa sababu watu wanalipa faini au kwenda jela kutumikia kosa walilofanya, hakuna uvunjaji wa sheria kama Bongo, hakuna mambo ya rushwa sasa wao wanaona makosa lakini wanachotaka ni kupewa rushwa tu. JK huku nako umeyaoona?

    ReplyDelete
  5. Pia hamna sababu ya kuwepo hapo wawili wote wakati makosa yanaendelea sehmu nyingine. Huyo POLICE mwingine angemwacha mwenzake ayamalize ili yeye ashughulikie issues zingine. Ila kwa sababu ya ulafi, basi wamekomaa wote hapo hapo na mapikipiki yao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...