nafarijika kuona kwamba tayari nina wageni zaidi ya 24,000 toka nifikishe wageni milioni moja juzi. kwa furaha nawapa zawadi ya picha hii ambayo naruhusu mtu aitumie apendavyo bure. kama kuna atayakeitaka kubwa zaidi awasiliane nami issamichuzi@gmail.com. asanteni wadau kwa kampani yenu...pia naomba tushee ujumbe huo chini ambao mdau kanitumia. ila kiinglishi chake kigumuuuuu na mie ndo hivyo tena. azawaisi ningetlasleti...
A good reflection,
A jobless man applied for the position of “office boy” @ Microsoft. The HR Manager interviewed him cleaning the floor as a test. You are employed he said. “Give me your e-mail address and I’ll send you the application to fill in, as well as date when you may start”. The man replied, “but I don’t have a computer, neither do I have an e-mail”,
“I’m sorry” said the HR Manager, “if you don’t have an e-mail, which means that you do not exist; and he who does not exist cannot have a job”. The man left with no hope @ all. He did not know what to do with the $10 in his pocket. He then decided to go to a supermarket and buy a 10kg tomato crate. He then sold the tomatoes in a door to door round. In less than 2 hrs, he succeeded in doubling his capital. He repeated the operation three times and returned home with $60. The man realized that he can survive by this way and started to go everyday earlier, and return late. Thus, his money doubled or tripled everyday.
Shortly, he bought a cart, then a truck, then he had his own fleet of delivery vehicles. 5 years later, the man is one of the biggest food retailers in the U.S. He started to plan his family’s future, and decided to have a life insurance. He called an insurance broker, and chose a protection plan. When the conversation was concluded, the broker asked him his e-mail. The man replied, “I don’t have an e-mail” address. The broker commented out of curiosity; ‘you don’t have an e-mail , yet you have succeeded in building an empire. Can you imagine what you could have been if you had an e-mail?!!
The man thought for a while and replied, “yes, I’d be an office boy at Microsoft”.
Lessons:
L1: Internet/e-mail is not the solution to your life.
L2: If you don’t have internet/email access, and work hard, you can be a millionaire.
L3: If you receive this message by e-mail, you are probably an office boy/girl, and not in any way close to being a billionaire.
A jobless man applied for the position of “office boy” @ Microsoft. The HR Manager interviewed him cleaning the floor as a test. You are employed he said. “Give me your e-mail address and I’ll send you the application to fill in, as well as date when you may start”. The man replied, “but I don’t have a computer, neither do I have an e-mail”,
“I’m sorry” said the HR Manager, “if you don’t have an e-mail, which means that you do not exist; and he who does not exist cannot have a job”. The man left with no hope @ all. He did not know what to do with the $10 in his pocket. He then decided to go to a supermarket and buy a 10kg tomato crate. He then sold the tomatoes in a door to door round. In less than 2 hrs, he succeeded in doubling his capital. He repeated the operation three times and returned home with $60. The man realized that he can survive by this way and started to go everyday earlier, and return late. Thus, his money doubled or tripled everyday.
Shortly, he bought a cart, then a truck, then he had his own fleet of delivery vehicles. 5 years later, the man is one of the biggest food retailers in the U.S. He started to plan his family’s future, and decided to have a life insurance. He called an insurance broker, and chose a protection plan. When the conversation was concluded, the broker asked him his e-mail. The man replied, “I don’t have an e-mail” address. The broker commented out of curiosity; ‘you don’t have an e-mail , yet you have succeeded in building an empire. Can you imagine what you could have been if you had an e-mail?!!
The man thought for a while and replied, “yes, I’d be an office boy at Microsoft”.
Lessons:
L1: Internet/e-mail is not the solution to your life.
L2: If you don’t have internet/email access, and work hard, you can be a millionaire.
L3: If you receive this message by e-mail, you are probably an office boy/girl, and not in any way close to being a billionaire.
Katika picha ambazo nimekuheshimu, kama umeichukua wewe michuzi, ni hii. Umechelewa kidogo tu, ungeipeleka kwa World Press Photo Award ungeweza pata zawadi kule. Picha nyingi zilizoshinda ni zilizochukuliwa kwa mtindo huu wa kimvuli, in english "silhouette", inatamkwa "si-l&-'wet". Katika picha 22 zilizoshinda, 9 zina u-silhwet fulani. Kwa picha hii ungepiku silhwet zilizoshinda za Lorenzo Cicconi Massi, David Guttenfelder, na Denis Darzacq. Michuzi utanielewa ukitembelea hapa:
ReplyDeletehttp://www.popphoto.com/gallery.aspx?section_id=52&article_id=3794&page_number=1&iorf=§ion_prefix=newswire,+newswire&window_id=1&gallery_id=607&seq=1
Michuzi umekuwa silhouettist.
Anoni: 1M
Picha safi sana hii Michuzi.Hongera nyingi kwa watembeleaji zaidi ya 1m.
ReplyDeleteMichuzi, this is one one of the best pictures I have seen in a while...indeed it should win somekind of an oscar.. and no.. better copyright it soon (if its work)!!! It is a classic!
ReplyDeletePicha Nzuri kinoma.
ReplyDeleteMichuzi, anza biashara ya kupiga picha kali kama hizi na kuziuza photo point.
wa-Tz siku hizi wana-appreciate sana vitu kama hivi and the are ready to pay the price.
kwa upande mwingine michuzi naona umeanza kututusi, hako ka-ujumbe ulicho ambatanisha na hiyo picha kanauma kweli kweli...
lakini yote kheri, tuamini kile tunachokifanya..
Asante sana kwa kutushirikisha ktk ujumbe huu wa kimaisha. Inatia moyo, habari kama hizi ndizo waTZ tunazihitaji ili tujifungulie mlango wa mafanikio kiuchumi.
ReplyDeleteNitawasiliana nawe Michuzi ili nipate uzoefu wako zaidi, maana nataka na mimi nianze na "tenga la nyanya!!" (refer the msg you shared with us above)
Yaonekana safi, artistically and skillfully.
ReplyDeleteLakini unaweza, kwa urahisi kabisa, ku-sex up picha ya namna hiyo kwenye any digital photoshop.
Huu si utaalamu mpya hata kidogo!
Unaweza digitally kuwabadilisha watu hao wengine wakaonekana kitwang'omba, na mengineyo, kadha wa kadha!
Kwanza ni kuwa na picha mbili tofauti. Moja yenye kuonyesha background ya bahari na ya pili hao watu.
Technique: Scan or produce the two pictures digitally. Hiyo ya watu iweke kwenye format ya kuongeza blackness had waonekane in silhouettes.
Anza na ya ocean background and send it into the back.
Two, superimpose hiyo ya watu na kuwafanya as if they are suspended in the air.
Three, edit rangi ili madhari (au niseme madirisha...yaani nafasi tupu za watu hao) yafanane na yale ya anga juu ya bahari au maji.
Hebu kuza picha hii, kadiri komputa yako inavyokurusu (kwa mfano, 500% au zaidi), na uone mabadiliko ya picha za watu na madhari.
Picha nyingi zimebadilisha kutokana na ujanja wa namna hii ili kuumba contents na contexts mpya.
Sitaki kueleweka kuwa picha hii ya Michuzi ni danganya toto. Hasha! Nasema tu kwamba unaweza kufanya ujanja huo.
Labda nitoe mfano mzuri: Marekani kwa kupitia Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wake, Collin Powel, ilidanganya dunia nzima kwenye Baraza la Usalama wakati ikitetea kuwepo kwa ma-trucks ya kutengenezea silaha za mass destruction katika sehemu moja nchini Iraq siku moja na kuhamishwa siku iliyofuata. Picha zilipigwa kuonyesha hayo ma-trucks. Halafu wakazi-edit kuondoa hayo ma-truck kuudanganya ulimwengu.
Kuhusu jumla ya watembeleaji...labda tuseme incidence za ufunguaji. Kwa sababu kunawezekana kuna watu robo milioni. Na kama kila mmoja atafungua mara mbili siku moja, basi hesabu hiyo itaomyesha nusu milioni. Kwa mfano, leo hii nimefungua mara tatu. Na kila nifunguapo idadi inaongezeaka kana kwamba ni watu watatu.
Hata mimi hii picha nimeimaindi.
ReplyDeleteNadhani inaweza ikashinda kazawadi fulani.
Au ipeleke iwekewe kwenye brochure za kutangaza utalii.
Duh Big Up sana Misoup!! Hiyo picha ni kiboko! Huo mwanga wa jua nyuma ya picha na wenyewe walivyo aisee hii ni kali kuliko picha zako zote ambazo nimewahi kuona, Keep it up!!!
ReplyDeleteJamani mimi mwenzenu sijaielewa hii picha ina maana amepiga kivuli au ni vipi?
ReplyDeleteWewe ni mtalaamu wa PICHA. Nadhani hawakukosea kukupatia u-chief photographer hapo DailyNews!
ReplyDeletepicha nzuri. nakupa heko.
ReplyDeleteDarubini unajua elements za ku edit picha kwa photoshop, nami umenistua imebidi niangalie kama hii imetengenezwa badala ya kupigwa. Mie nacheza na photoshop day and night, tena CS2. Hii picha ni ya kupigwa. Evidence: zoom 1000 times, then angalia pixels za mguu wa kulia za mtu aliye na rasta. Nimechagua spot hii maana mwanga wa jua ni bright na unakutana na silhouette. Picha ni original kwa sababu rangi ya pixels zinavyofade toka kwa mguu hadi mwanga wa jua ni uniform. Unaweza merge layers kama ulivyoeleza, lakini kuweza kuflow na pixel moja moja na kuidaka fading kama real, itakuchukua kama mwezi hivi. Then, picha ile ya Omar, kuweza kuweka maji aliyoruka nayo akicheza huo mpira itabidi umuweka toka picha aliyoruka dolphin.
ReplyDeleteIssa, you have nailed this picture.....not only it is nice, but it is beautiful.
ReplyDeleteDarubini wewe mbabaishaji. Michuzi aliposema anashukuru kwa kufikia watembeleaji million moja, hakuna maana watu tofauti. Alikuwa na maana hiyo wewe uliyoelezea hapa. Kwa hiyo lengo ya hiyo comment yako haliko wazi. Pili tunaangilia uziri wa picha, hatuangalii nani kapiga na wapi. Hii picha ni nzuri, pamoja na mifano yako ya Marekani ambayo ni uongo mtupu. Picha zile za CIA zilikuwa kweli. Fanya utafiti zaidi. Usiangalie websites za Al Jazeera tu, angalia pia CCTV, BBC na CBS.
ReplyDelete