Home
Unlabelled
abou
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hapo taabu itaanza huyo Mama akibadilisha chaneli na aseme kiinglishi kidogo tu, Abuu atatoka baruti, ndiyo umahiri wa huyo mtangazaji wetu wa lugha moja, la hiyo taalumua nayo, ina vituko acha tu...
ReplyDeleteIssa Michuzi ninavyojua mimi huyo mama hatokei Kenya, ni Mtanzania. Ni kati ya wale mama zetu wa kitanzania wanaotuwakilisha Umoja wa Mataifa(UN) kule Mashariki ya kati. Na hapo jijini Cologne ni kati ya zile safari zake za kikazi.
ReplyDeletemtoa maoni wa kwanza ameniumiza kwa kum-beza abou kuhusu kingereza. unajuaje kama hajui kingereza? na je unafaham kwamba kingereza ni lugha tu kama kingoni na kujua ama kutojua sio ishu? wajapan, wachina na wafaransa hata rais wao ana mkalimani! sio ishu kingereza, acha utumwa na dharau, nyie ndio mnaodharau bibi zenu vijini kwa vile mnajua kingereza, akhhhhhh!
ReplyDeletekamua abou liongo. tena kandamiza kabisa.
ReplyDelete