
mdau aboubakar liongo ambaye ni mtangazaji mmbongo redio deutche welle akiwa na masela kwenye karnivali jijini cologne majuzi. nasikia siku hizi mshikaji kijeremani kinapanda ile mbaya kwa hiyo aaaahh....anapasua anga tu. hongera shekhe!
wikiendi hii msisahau kuburudika na za kale kwa kubofya hapa
Najua unasubiri kwa hamu mpambano wa L/pool v. man U. ndo maana hauonekani leo j'mos kabla ya saa 9.45 za TZ!!!!!!! Acha wasi wasi tutawafunga goli chache tu wala si nyingi!!!! sijui jioni utakuwa na nguvu za kublogu baada ya kipigo?
ReplyDelete