katika harakati za kunifariji baada ya kukwama dumila eapoti kwa kukosa usafiri kuna mdau kanitumia hizi. na latesti za eapoti za dumila bofya hapa


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. LOL!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Find X ahahahahaa aiseee,ukijibu hivyo bongo ni mswaki str8 up!

    ReplyDelete
  2. Mtaka Haki ninataka utundike stori yangu kuhusu the "rule of law" Tanzania in the light of Dito's case!

    ReplyDelete
  3. Kama sijakosea formula yake ni 1/2*Height*Base
    Kwa hiyo: 1/2*3*4=x
    Cross multiply:1*3*2=x
    Therefore: x = 6cm

    ReplyDelete
  4. michuzi umenikumbusha mbali sana cousin wangu mmoja alikuwa hapendi hesabu kabisa akawa anasema watu wanasoma hesabu kwanini eti unaambiwa find x while x is alredy there....simple!!!!!

    ReplyDelete
  5. Mliakuvana umekosea hapo juu, wewe umetafuta Eneo badala ya urefu wa 'x'

    Tumia Pythagoras Theorem;
    let x = c

    a.a + b.b = c.c
    (a" + b" = c", where "=2)

    3*3 + 4*4 = c*c
    9 + 16 = 25 = c", (where "=2)
    5=c
    therefore c=x=5

    ReplyDelete
  6. nimesahau vipimo;
    a*a + b*b =c*c
    let x=c
    3*3 + 4*4 = c2, (c power 2)
    9 + 16 = 25 = c2
    5 = c

    Therefore, x = 5cm

    ReplyDelete
  7. Mliakuvana kumbe na wewe ni zero kwenye namba!!! Mbona hiyo ni kanuni ya kutafuta eneo la pembe tatu. Kanuni sahihi ya kukokotoa hesabu hiyo ni ile iliyotolewa na Anonymous was 3/13/07 9:10:00 AM

    ReplyDelete
  8. mh hesabu, mimi nilikimbia umande kwa somo hilo, yani hapo ni chui na paka, so ukinipa ni solve hesabu sa hivi ni bora uninyime huo ugali basi nilale njaa kuliko kufanya hesabu,

    mdau mmoja hapo juu kasema cousin wake alimwambia kwanini atafute x wakati x tayari iko hapo, nafikiri ni kweli, kuumizana vichwa tu,

    hivi michuzi unajua maths wewe?? akisema u solve hiyo hesabu ndo utakwaa pipa, hakyamungu utaozea huko, au ndo mana unatafuta majibu kwa wadau nini, lol, hahaaaaaaa just kidding, utafika home tu usijali

    ReplyDelete
  9. Jamani msimcheke huyo. Hesabu ni tatizo la kitaifa Bongo. Ni wachache sana tunaozikung'uta kisawasawa

    ReplyDelete
  10. Mliojifanya kukokotoa hapo juu WOTE mmekariri. Siyo lazima sides za triangle ziwe a, b na c. Kwa hiyo siyo lazima x iwe c (why let x=c?). Tumieni vichwa zaidi, tumieni mlichopewa badala ya ku fabricate 'mlichokaririshwa' mashuleni kwenu!Napenda huyo aliyeandika jibu peke yake, anajua alichofanya!

    ReplyDelete
  11. Ala, kumbe nimetafuta eneo! Hesabu was not rechabo - nina "D" Form IV na "F" ya BAM Form VI......

    Si nikajiona ninaweza kukumbuka kafomyula kumbe buluu! Nakumbuka mwalimu wangu mmoja alikuwa anasisitiza sana kusoma swali na kulielewa na sio kukurupuka na vifomyula nilivyo kramu - sasa ona hapa matokeo 25 years later!!!

    ReplyDelete
  12. Say what??? Mzozaji, are these numbers correct? If they are, then, damn!!!

    Halafu when the previous waziri wa elimu alivyotaka kurekebisha hili watu tulimjia juu! Sasa naona kumbe anaweza kuwa alisema kweli - muda mwingi wa masomo unatumika kufundishia masomo mengi mengine na kupunguza muda wa kujifunza hesabu (na kizungu)

    Mmmhhhh.....was he right??? I think so he was.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...