न्शान्ज़ा कुओना nshaanza kuhisi kihindihindi kutokana na hiyo bei ya vitu hapo...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. bwa michuzi kama hapo ni jumbo electronics basi lazima bei ikuumize kichwa. As Sony authorized dealer nategemea wawe wana upgrade vitu every three month ili kuweka vitu vipya. Wabongo hatujali model mpya, nadhani unaweza ukapata vitu bei rahisi maduka mengine. Well bado vitu vyao ni cheap kulinganisha na USA(eg.BestBuy), mimi huwa nawsailiana nao nkihitaji electronics kwa ajili ya home.

    ReplyDelete
  2. Michuzi waarabu mbona hawana good customer service, wauzaji watatu hakuna hata mmoja aneyekupa attention(au wamekuona sio mnunuaji)?

    ReplyDelete
  3. pole kakangu
    kuwa makini usianguke
    ndo life, ila nasikia huko bei sawasawa na bure kaka, sasa iweje uhisi hivyo?

    Mimi ninampango wa kuzuka huko karibuni, nistue basi kama kihindihindi nisije hisi kiharabu baada ya kufika huko.

    kazi njema, na tarii kwa amani

    ReplyDelete
  4. Mbwegelembegele,naomba contact ya hayo maduka ambayo huwa unaagiza vifaa vya bei nzuri huko Dubai.

    ReplyDelete
  5. Kaka yangu ukirudi bongo cha kwanza basi piga gym kidogo. Sijui umekila vinono sana huko. Hapo hii picha na ile ya kanzu mh! Naona kitambi kinaanza kukukimbilia. Watch out kwasababu leo kg moja kesho moja before you know una kg 10 extra.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...