mabibo hosteli kuzuri.....
hii hapa imeingia leo leo
An American and a Japanese were sitting on the plane on the way to LA when the American turned to the Japanese and asked, "What kind of -ese are you?"
The Japanese confused, replied, "Sorry but I don't understand what you mean." The American repeated, What kind of -ese are you?" Again, the Japanese was confused over the question. The American, nowirritated, then yelled, "What kind of -ese are you ..Are you a Chinese, Japanese,Vietnamese!, etc......"
The Japanese then replied, "Oh, I am a Japanese."A while later the Japanese turned to the American and asked: What kind of 'kee' was he. The American,frustrated, yelled, "What do you mean what kind of'-kee' am I?!"
The Japanese said, " Are you a Yankee,donkee, or monkee?"

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. that hostel stinks!!! vyoo kwenye halls vinanuka na usafi bado sana... bila kuzungumzia hao wakaazi... afadhali Ubungo Hostel.. wanakaa watu wazima wenye heshima zao..

    ReplyDelete
  2. Kweli binadamu tunasafiri, miaka minne iliyopita nilikuwa hapa kama fresher, nadhani hilo jengo kulia ni block F nami nilikuwa block A( haionekani pichani). Nimeimiss sana ardhi ya Tz, na watu wake.
    Mungu bariki nchi yangu!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  3. Hii Hostel ni nzuri sana ila wakaazi wa hapo ndo si wastaarabu hata kidogo, yaani inasikitisha kuona maji yapo kwenye matenki chini lakini mtu anashindwa kuchukua ndoo ya maji na kuingia nayo msalani matokeo yake anaingia hivyo hivyo na kuacha mauchufu yake juu, pia kuna watu wengine walikuwa wanapika lakini walikuwa wanashindwa hata kupangusa jiko alilopikia, yaani inasikitisha sana kuona wasomi ambao tunawategemea wawe viongozi wetu wa baadae wanakosa ustaarabu na sijui wakija kuwa viongozi watakuwa viongozi wa namna gani. Kwa kweli Watanzania inabidi tubadilike.

    ReplyDelete
  4. hapo juu umenishtua sana,yaani still unahitaji kuchota maji kuoga au kwenda chooni...sishangai pakiwa pachafu na wala usiwalaumu hao wanafunzi ni ujinga wa hao wanaoendesha hapo..why not pump water to the bathrooms/toilets? wajinga sana hawa

    ReplyDelete
  5. Utunzaji wa sehemu unayokaa ni jinsi ulivyolelewa::kama ulilelewa nyumba ambayo maji yapo ya kumwaga, unadhani ukiwekwa mahali ambapo maji ya shida utaweza kuyafuata yalipoo?Sasa sana utapaacha pachafu tuu::
    Nashauri maji wayapump so kuwe na running water

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...