haya ndo baadhi ya vituz ndani ya 8020fashions.......kwa habari zaidi bofya http://www.8020fashions.blogspot.com/

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. eheee eheee eheeee naona braza michu full support kwa mama no comments

    ReplyDelete
  2. POA MICHUZI NAONA HATA SISI TULIO HUKU SHANGHAI(SHINYANGA)TUNAPATA MAVITUZ KAMA HAYA.JE UTAKATIZA HUKU KATIKA ZIARA YAKO AU UTAISHIA MINNESOTA TU?

    ReplyDelete
  3. Haya mavazi ni mazuri ila sasa kinachosikitisha siku hizi ni kuwa katika fashion huoni mambo mengi ya kitamaduni na mavazi mengine elegant na yenye heshma kama kaftans, long tops, headscarves etc. siku hizi fashion nyingi zaidi ni Western, a bit sad and boring that everyone is wearing the same things and feels like they have to conform.....

    ReplyDelete
  4. kinachosikitisha nguo ni nzuri kama zimgekuwa za ukweli nimetoka bongo two weeks ago wachina wamewaharibu tena kaeni mbali na moto nguo za hovyoo material mbovuu sana tuanzeni kuvaa vitu vya kweli tuachane na wachina jamani

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...