
naibu waziri wa habari, utamaduni na michezo daniel nsanzungwanko akimkabidhi emmanuel herman wa gazeti la mtanzania tuzo ya mpiga picha bora wa mwaka 2006 wa habari za sanaa na utamaduni usiku huu kwenye hoteli ya rombo green view iliyoko sinza kwenye tamasha lililofana la tuzo hizo zilizoandaliwa na chama cha waandishi wa habari za sanaa na utamaduni


Ee Bwana ee hao waandaaji si wangemwandalia huyo jamaa hata kasuti ka mtumba tu! jamani mnamuona allivyovaa lakini!
ReplyDeleteJamaa kachoka kichizi...Can u imagine yaani hapo kaupara akijua anakutana sijui na waziri,bongo kweli noma!
ReplyDelete