Home
Unlabelled
jangwani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wow
ReplyDeleteWow, shule yangu hiyo inanikumbusha chips za mama kajiji na mzee asilia. Alumni mpo?? Mi nimemaliza 1996. Sisi ndio tulikuwa wa kwanza kuchangia ukuta huo. Nice school by then, namkumbuka mama mkamati, Mr. Mkichwe, Mr. Mbowe and others
ReplyDeleteMICHUZI ACHA UBAGUZI TULUSHIE KINONDONI TUONE CHAMALETU LINAFANANAJE SIKUIZI
ReplyDeleteMzee vipi watoto wa mjini Azania kumbuka ndio uwanja wa mazoezi wa Pan African.??!! Najua hiyo imekukuna haya lete vitu.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteAsante kwa picha za Jangwani na Mzizima. Naomba picha ya alma mater wangu Zanaki Girls. Pia najua watu wataomba pihca za Kisutu Girls, Tambaza, Azania na Forodhani.
Kazi nzuri!
na maraya wengi wa dar wamesoma shule hiiiiiiiiiiiiiiiiii
ReplyDeleteMichuzi naomba nidondoshee nepu la chama langu Vituka
ReplyDeleteWaliokuwa watoto wa vikopo utawajua tu. Wewe anony wa 8.37pm ulikuwa na haja ya kuandika uliyoandika!? Mtu mzima hovyoooo!!! Msonyo mrefuuuuuu
ReplyDeleteSir Issa, mwambie huyo mwenye kioski hapo kushoto akulipe kama, hana ata aksante inatosha.
ReplyDeleteSir Issa, Mwambie huyo mwenye kioski hapo kando akulipe, kama hana aksante inatosha, huyo dada anawahi.
ReplyDeleteNice school alumni-HS 1995 mida imepita sana nakumbuka Mkichwe,Mpasuka na masifa yake. Bunto RIP and Mkamati RIP. This is where I grew up and I am taking all the blessing and descplines I learned in this school towards my life experience. Thanks to all teachers. Great school indeed!!
ReplyDeleteMichuzi cheki na PUGU boyz THE SOLDIERS CAMP hapo si unajua hili ndo chama kubwa kwa bongo hii?fanya mambo nakuaminia mtu wangu.
ReplyDeleteHapo kushoto hakuna kiosk, Mhe.Kandoro (RC DSM) kaondoa viosks, vibanda na wauza ndizi wote waliokuwa katika pavements. Hilo mlionalo ni bango la COCACOLA wakitangaza biashara yao kwa kuonesha jina la shula JANGWANI..
ReplyDeleteJangwani Shule Yetu ,Jangwani twaipenda.....!Lol bro hapa umetukuna wengi,nakumbuka enzi fulani A levels wanafanya Campaign eti HeadGirl atoke PCB.Ilikuwa Cuf na CCM ,PCB na CBN.Mwanangu palikuwa hapatoshi ,mnakumbuka akina dada,
ReplyDeleteUwiii, LOL. Yaani we umenikumbusha mambo ya kampeni, ilikuwa patashika. Good memories jamani. Uncle Phiiiii mnamkumbuka????
ReplyDeleteShule hii kwa Machangu, ilikuwa ni mwisho! Namuunga annon hapo juu kwamba hii shule ndo kiwanda cha machangu wanaojukana nchini!
ReplyDelete