kinamama wa shoka wengi wamepita hapa. da mija upo?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 16 mpaka sasa

  1. Wow, shule yangu hiyo inanikumbusha chips za mama kajiji na mzee asilia. Alumni mpo?? Mi nimemaliza 1996. Sisi ndio tulikuwa wa kwanza kuchangia ukuta huo. Nice school by then, namkumbuka mama mkamati, Mr. Mkichwe, Mr. Mbowe and others

    ReplyDelete
  2. MICHUZI ACHA UBAGUZI TULUSHIE KINONDONI TUONE CHAMALETU LINAFANANAJE SIKUIZI

    ReplyDelete
  3. Mzee vipi watoto wa mjini Azania kumbuka ndio uwanja wa mazoezi wa Pan African.??!! Najua hiyo imekukuna haya lete vitu.

    ReplyDelete
  4. Michuzi,

    Asante kwa picha za Jangwani na Mzizima. Naomba picha ya alma mater wangu Zanaki Girls. Pia najua watu wataomba pihca za Kisutu Girls, Tambaza, Azania na Forodhani.

    Kazi nzuri!

    ReplyDelete
  5. na maraya wengi wa dar wamesoma shule hiiiiiiiiiiiiiiiiii

    ReplyDelete
  6. Michuzi naomba nidondoshee nepu la chama langu Vituka

    ReplyDelete
  7. Waliokuwa watoto wa vikopo utawajua tu. Wewe anony wa 8.37pm ulikuwa na haja ya kuandika uliyoandika!? Mtu mzima hovyoooo!!! Msonyo mrefuuuuuu

    ReplyDelete
  8. Sir Issa, mwambie huyo mwenye kioski hapo kushoto akulipe kama, hana ata aksante inatosha.

    ReplyDelete
  9. Sir Issa, Mwambie huyo mwenye kioski hapo kando akulipe, kama hana aksante inatosha, huyo dada anawahi.

    ReplyDelete
  10. Nice school alumni-HS 1995 mida imepita sana nakumbuka Mkichwe,Mpasuka na masifa yake. Bunto RIP and Mkamati RIP. This is where I grew up and I am taking all the blessing and descplines I learned in this school towards my life experience. Thanks to all teachers. Great school indeed!!

    ReplyDelete
  11. Michuzi cheki na PUGU boyz THE SOLDIERS CAMP hapo si unajua hili ndo chama kubwa kwa bongo hii?fanya mambo nakuaminia mtu wangu.

    ReplyDelete
  12. Hapo kushoto hakuna kiosk, Mhe.Kandoro (RC DSM) kaondoa viosks, vibanda na wauza ndizi wote waliokuwa katika pavements. Hilo mlionalo ni bango la COCACOLA wakitangaza biashara yao kwa kuonesha jina la shula JANGWANI..

    ReplyDelete
  13. Jangwani Shule Yetu ,Jangwani twaipenda.....!Lol bro hapa umetukuna wengi,nakumbuka enzi fulani A levels wanafanya Campaign eti HeadGirl atoke PCB.Ilikuwa Cuf na CCM ,PCB na CBN.Mwanangu palikuwa hapatoshi ,mnakumbuka akina dada,

    ReplyDelete
  14. Uwiii, LOL. Yaani we umenikumbusha mambo ya kampeni, ilikuwa patashika. Good memories jamani. Uncle Phiiiii mnamkumbuka????

    ReplyDelete
  15. Shule hii kwa Machangu, ilikuwa ni mwisho! Namuunga annon hapo juu kwamba hii shule ndo kiwanda cha machangu wanaojukana nchini!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...