mghani mashairi maarufu wa parapanda mrisho mpoto akiwa na dada eva wakighani shairi la 'titi la mama tamu' la shaaban robert kwenye tuzo za waandishi bora wa 2006 wa sanaa na utamaduni usiku huu hoteli rombo green view iliyoko sinza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Kwa tunaokunywa bia(sio pombe), hii baa bado ina mtori na supu bomba ya kuzimulia asubuhi kama enzi zile tukitoka Ikibinda nkoi ya Alan Mulumba Kashama(rapa) pale Sillent Inn Mwenge ?

    ReplyDelete
  2. Ile nyimbo yao ya (salamu zangu kwako) wametumia methali nyingi sana na hizi methali karibia zote kila moja inamaana tofauti kabisa na nyingine, kwa hiyo wamejikuta wanaongelea vitu vingi sana mpaka wimbo ukwa hauleleweki kwenye ubeti wa kwanza. Kwenye ubeti wa pili na watatu walieleweka sana na ndipo nyipo ikaleta maana nawapongeza sana kwa muziki halisi wa kiafrika

    ReplyDelete
  3. rhxoqsa, fasihi iliyotumika ktk wimbo wa MJOMBA ni ya hali ya juu sana na unahitaji tafakali kuelewa yaliyosemwa tangu mwanzo. Mambo hayajachanganywa.

    Hongereni sana Parapanda ujumbe mliomwambia mjomba ni kweli na ndiyo yanayofanyika HASA siku hizi. Mjomba si mjomba tena na tunasubiri kuulizwa SIZE ZA VIATU ALIVYOTUPIMA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...