Home
Unlabelled
tambaza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
michuzi vizuri nasubiri nione shule yangu,,sijui kama bado cardinal pengo hajaichukua,,, forodhani..
ReplyDeleteHivi ile fence hawajajenga tu...inayo connect Muhimbili Primary na Tambaza..after all these years...dayuuum... a lil gardening wont hurt lakini watu watatorokea wapi i guess..
ReplyDeletenimeondoka bongo ni kipindi kidogo,lakini tambaza haijabadilika sasa sijui kama elimu imebadilika!
ReplyDeleteDUH! Tambaza iko vile vile kama tulivyoiacha! Hiyo miti ndo imeongezeka. Wana madawati ya kutosha kweli?
ReplyDeleteHata kupaka rangi jamani? Nakumbuka vijana wa Tambaza walikuwa wankuja kwetu Zanaki kwenye maonyesho na shughuli zingine, siku zingine tunaenda kwao.
Chame letu Watoto wa Jeshini Halisi..walilifunga chama baada ya zali kuwa nyingi ..kinondoni wanaendewa zali letu...wachizi wote wa Tambaza popote mlipo leteni story
ReplyDeleteTambaza inahitaji ukarabati wa nguvu. Wadau wajipange wapitishe harambee maana watu wengi wa shoka wenye mifuko mizito sasa hivi walipita hapo. "Tambaza - Conerstone of secondary education in Tanzania."
ReplyDeleteMbona unawabania Azaboyz....tafadhali bwana mkubwa...Tupo tunalisubiri chama letu.
ReplyDelete