mzee upara akiwa na wasanii anaowaongoza wa kundi la kaole leo ukumbi wa tzf kigogo. mzee huyu ambaye jina lake halisi ni mzee fundi saidi ni moja wa wasanii wakongwe waliosalia kwenye fani. atakumbukwa kwa sauti yake nzito kwenye vipindi vya michezo vya rtd, akiwa kama baba ubaya, na pia kwenye tamthilia ya filamu tanzania ya anko katalambula ya simu ya kifo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. hawa maisha tena

    ReplyDelete
  2. huyo hapo kando ni kaka yake?? naona kama wanafanana hivi...!?

    ReplyDelete
  3. huyu ndiye alikuwaga pia kwenye vipindi vya Pwagu na Pwaguzi?

    ReplyDelete
  4. huyu alikuwa akiitwa kikaango namkumbuka sana mzee huyu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...