Home
Unlabelled
hafsa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
michuzi muhuni bwana, we unatoa award huku unakodolea matiti badala ya kumwangalia usoni?
ReplyDeleteMchuzi shavu kama umepingwa ngumi
ReplyDeletemichu,huyu mtoto yuko bomba sana,ngoja nikija bongo lazima nimsake,nipelekee salaams.
ReplyDeletechamtoto
tunakuaminia sana mkongwe umetoka mbali na una mwili mzuri maana mimi tokea mdogo kipindi hicho magazeti bongo ilikuwa Uhuru, Mzalendo, Mfanyakazi, D/News na S/News tulikuwa tunaona picha zako na habari za kina Lukumbo na wengine sijui kama bado wapo hawa watu nilikuwa nikiona picha tu naangalia imepigwa na nani nafurahi mzee bado unawakilisha mpaka ulimwengu huu wa leo
ReplyDeleteblog yako imekuwa kama kifungua kinywa kwangu kila nikifika job nawasha PC na kuangalia blog yako kwanza ndio naendelea na kazi Big Up mkongwe ukubwa dawa kazi yako inakubalika sana na watanzania wote sehemu mbalimbali ulimwenguni
SALUTE mtu mzima
By Funzadume
Michuzi naona uko na pamba yako ile ile ya TMK
ReplyDeletehttp://photos1.blogger.com/blogger/3812/1569/1600/tmk4.jpg
hv michu kuuliza si ujinga . hv kale kabinti kakkipare ulikaoaga au ilikuwaje. kama hujakao fanya umuowe kwani kukaa nae miaka yote hiyo bila ndoa haifai. samahani kwa kumwaga mchele kwenye kuku wengi. NOPE
ReplyDeletemichu nimekushtukia hapo picha ya kwanza juu ulikuwa uanmwangalia camera man wako yuko wapi na kujisemea moyoni bwana fanya fasta piga picha piga haraka. halafu mmependeza.NOPE
ReplyDeletemichuzi tunapenda kujua status yako-umeoa?hujaoa/pengine umeolewa manake siku hizi bongo....alafuu hao ma anon waliopo nje esp MAREKANI wenye akili fyatu sijui ulimbukeni wanaoona tu wanawake na kuanza kuwapania eti wakirudi bongo watawakandamiza washindweee kwa taarifa yenu hatuzimikii watoka abroad manake tumewashtukia ni washambaaaaaa kazzi kusafisha tu vyooo!!!!tunababaika na wa humu humu watafuta pesa kihalali!!! na mtu ajaribu kunibeep aone...nakusanya tu hizo missed call siku nikiwapigia hee kitaumana!(michu najua umenielewa )
ReplyDeletewe hizo pamba utafkri mwanajeshi wa maji au sijui daktari kwani hukuwa na designer?
ReplyDeleteWe Michuzi we! Hiyo picha ya kwanza hapo mbona umemshika mkono huyo dada, una agenda gani? wenzako wanashikaka hiyo Award kwa pamoja, we unashika mkono wake! Vandumweh!
ReplyDeleteSir Issa "..PICHA TABASAMU HII.." MI NIMEKUELEWA KAKA "..HUTAKI VUMBI WEWE.."..NAAM.. HIYO LEBO HAPO KWENYE SHATI NI KIVUUTIO VILEVILE.."
ReplyDelete