Home
Unlabelled
nyeusi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mithupu MIGUU hiyo!! Kwa mtaji huu wengi hatuponi, miguu imetulia hiyo
ReplyDeleteTangu lini Michuzi umeingia kwenye fasheni? hebu acha upuuzi
ReplyDeleteKwa miguu hii hapa na kifua kama hicho hapo juu sio ajabu vijana wengi wakisema ndom hawaziwezi ila wao wanapiga "bare" tu.Tubadilike jamani,bare tamu ila inalileta kaburi karibu yako!
ReplyDeleteThis is what im talking about miguu mizuri hii.Dada zetu wa nyumbani wako very feminine,wametulia jamani dada zetu wa huku wamekomaa kama midume miguu vigimbi mazoezi kila siku kazi kufurahisha wazungu!
ReplyDeleteHapo tena Michuzi unacheza uhuni wako. Unatonyesha Rangi Neusi au huo mguu wa Chupa ya Bia? Safi sana lete vitu kama hivi
ReplyDeletekaka hii miguu mbona itatia nyege, lakini huenda anacheza kale kamchezo huyu mama naona cheni mguu wa kulia hebu nambieni washirika nini maana ya cheni hiyo kulia.
ReplyDeleteSalaaallah,
ReplyDeletemichu, ina maana hii miguu ndo imeunganishwa na hiyo ya hapo champagne,duuuh mtoto mtamu si mchezo.Kwa mwendo huu watakufa vidume wote watabaki vichaa tu.nisalimie huyo mdada.
hili ni guu la kihaya - nani anabisha ?
ReplyDeletesitoshangaa nikiambiwa dada mwenye miguu hiyo ndiye mwenye mtini hapo juu !
ReplyDeleteAsalaale !kweli kuna watu wanafaidi duniani !
Hey hii miguu yangu niachine mwenyewe Mwenyenzi Mungu amenijalia...ha ha ha ha ha
ReplyDeleteKama miguu na champagne picture ni ya mtu mmoja basi akija USA huyu anaeka kwenye strictly diet kwa vile huyu yuko overweight sana tu ....hamna hata health insurance itakayomkubali...
ReplyDeleteNyie wanaume wa bongo mnataka minofu wakati akipata pressure na kisukari mmeshamsahau mnakimbilia mwingine
inshomile the have no soup Sukumaland ndiyo yenyewe wahaya mitindi na matako hutajua kama anaenda au anarudi
ReplyDeleteduh huyu dada ni yule wa shampegne maana skin comlpex ni moja wewe michuzikuna agenda ya zaidi maana umeanzia kifua ukashuka na miguu. haya kabarikiwa kwa kweli
ReplyDeleteduh MICHU we kiboko, ulidhani hatutaweza kuunganisha rangi na matukio?? umeona tumegundua picha ya juu ya champaigne inaweza ikawa ni ya mtu mmoja umeamua kuitoa eeh?? turudishie wadau wako usitunyime uhondo ambao uliamua mwenyeweee kwa hiari yako hukulazimishwa kuweka. TOSO
ReplyDeleteBwan Michuzi tafadhali turejeshee ile picha yenye kifua kizuri cha kike, acha kutunyanyasa wadau wako.
ReplyDeleteMichuzi chonde chonde turudishie ile picha ya champagne na mdada aliyekuwa anafungua.nilituma commemt zangu hata hukuweza kuruhusu .kumbuka blog ni ya wadau na tafadhali zingatia maoni ya wengi
ReplyDeleteAaa nie ha ha ha ha m-medata!
ReplyDeleteWashikaji kwa LEG LINE mmefika kimi na tano unaona sasa FLAVIA MATATA katoka bila kitu palepale tu alipofika !!!!
ReplyDeleteMICHUZI TOA HII PICHA !!!!!!!!!!!
michu tuoneshe na makalio basi mbona unafanya mambo nusu nusu, tafadhali
ReplyDeleteSasa Michuzi hii picha naona ni kizaazaa KWANI TENA IMETOKEA KWENYE GAZETI LA DIMBA toleo no:1140 ukurasa wa 6 MAMBO YA HATI MILIKI YAMEKAAJEEE?? mzee mzima au ni wewe tena na huko !
ReplyDelete