jide akiwa kwenye shopingi la vipodozi leo huko japan. msikilize hapa na ngoma yake ya siku hazigandihttp://www.youtube.com/watch?v=lJLxkofaAbs

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2007

    Kuna watu wakiwaona watanzania wenzao "wanapeperusha" hivi wanachukia na kuanza kuponda.Nimekuwa napitia nyimbo mbalimbali za bongoflava na mizike mingine ya Ki-Tanzania ktk YOUTUBE nakuta comments za wakenya wakionyesha ulimwengu kuwa hao wanamuzuki ni wao.

    Utakuta wanaandika, kwa mfano "this song is still hitting in Kenya".Wachangiaji wengine wanapata impression kuwa jamaa wakenya pia.Wabongo wengi utaona wanaandika mara ooh jide sio mzuri(tena kwa kiswahili) na maneno mengine ya kukandia.

    Kumbe hatujui kuwa kuna risk-taking tourists wanaweza kuja kwetu kwa kuvutiwa na muziki na mambo mengine wayaonayo humo.

    Najaribu kuwabeba(wanaobebeka)kwa maneno ya kuonyesha kuwa wao wanatoka nchi nzuri,kwa mfano: "big up Lady Jay-Dee, big up Tanzania-authentic Africa;the land of Kilimanjaro, Zanzibar, Ngorongoro & Serengeti".

    Silipwi na mtu ila nina imani ninaweza wavuta hata watalii wawili(per year) kwenda Tanzania.Madola na mapaundi yao yanaweza kuleta tofauti ktk uchumi kama yatatumika vizuri.Pia nawapa moyo hao kina JD na wengine wajitume zaidi ingawa music piracy is draining their energy.

    Tuenzi,tuthamini,tusifu na turekebishe vyetu.Vitatufaa siku moja.Safari hatua!

    Tanzanianboy!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 03, 2007

    Jide asije akanunua vipodozi vya watu weupe. Yeye mweusi ataonekana kinyago.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 03, 2007

    Hongera mwaya!waburudishe wajisikie wako tz,ingawa wengine hawataki kurudi home

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 04, 2007

    Hivi mbona sielewi hivi mwanamke ni lazima apake vipodozi hata kama mtu ana sura mbaya ambayo haivutii mwanaume yeyote?

    Mimi naona kama ni upotezaji wa hela za kijapani ambazo ni za kigeni tunazozihitaji kwa ajili ya kununulia pembejeo za kilimo.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 04, 2007

    I like her songs. I know guys in Japan will enjoy so much.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...