Home
Unlabelled
wadau
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
misupu ningekuwepo hapo ningetembeza bakora kwa wote hao wanaoshangaa ili waende makazini,mi nina swali wanamshangaa jamaa urefu? sababu jamaa bado ana safari ndefu kuwa supa staa,lakini wabongo wanashangaa kila kitu.
ReplyDeleteKuna nchi moja ya ulaya mkazi wa nchi hiyo alishapiga dongo kwa kusema kuwa waafrica wengi wakifika kwenye nchi zao wanafikiri kuwa wako mbinguni.
ReplyDeleteSasa naona mshangao huu unamaanisha kuwa hawa wanaona hasheem kama mtu mmoja mkubwa sana duniani. Ndio maana mtu akipewa madaraka wizi unakuwa mwingi hili wawe kama hasheem. Fanyeni kazi tu acha kuzubaa.
watanzania kwa kupenda kukaa vijiweni tu hawajambo. Halafu wanataka maisha bora kwa kila mtanzania. Hebu kimbieni kazini kzi kushangaa tu bila sababu watu warefu 7-3 bongo kibao..Kirumba mrefu kuliko hashim sasa mnashangaa nini?
ReplyDeletewewe anon hapo juu unamsema shabani kazumba? nadhani huyu bwana mdogo atakuwa ni mrefu kuliko shabani kazumba aliekuwa anachezea pazi.
ReplyDeleteWabongo kwa kushangaa hatujambo sasa hapo sijui ni nini cha ajabu sijui ni huo urefu sijui ni kitu gani au kwa vile ndio mtu ameishaanza kuwa famous vitu vingine vidogo lakini sisi wabongo badala ya kufanya kazi tunabakia kupiga domo tu
ReplyDelete