Home
Unlabelled
afande
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Cape Town?
ReplyDeleteHuyo bwana anafikiri gharama za kujenga hayo ma-"flai ovas" ni sawasawa na kujenga lile daraja la kuvukia watu pale manzese?
ReplyDeleteKujenga hayo maana yake nchi nzima mkae na njaa-mjifunge mikanda sio kwa miezi 18 ile ya Nyerer, bali miaka 18!
kwanza nafasi ya kujenga hayo mabarabara iko wapi kama si kuanza kubomoa bomoa tena nyumba za watu? wewe kule kimara tu ilikua shida kupanua ile barabara.
ReplyDeleteCha muhimu wakitaka hizo barabara wajenge mji mpya wenye city plans za kisasa. Huo mji waliouanziasha hawakuwaza kuwa utakuja kuwa na watu wengi hivyo. Na kila siku unavyodevelope ni nyumba za kuishi tu lakini hamna cha plan ya shule za nsingi mpya, hospital, fire house au nini. Hivi pamoja na mji mkubwa kama huo kuna fire house ngapi? Na hizi sehemu zinazopinmwa viwanja vipya kila siku kweli wanaweka sehemu ya kutengeneza hivyo vitu muhimu?
Miji mingi sehemu za ulimwenguni kama haina sehemu za kudevelop vizuri wanajenga mpya pembeni.
Penye nia pana njia hamna cha kufunga mkanda kwa miaka 18 wakiweza kucontol tu tax za wafanya biashara hapo Tanzania....kutangaza vizuri nchi yetu tupate watalii wengi zaidi na na tanzanite ile kule inavyojulikana hivi sasa ulimwenguni ndio wangekamua sasa hivi ikipita umaarufu wake tena basi ...tungeweza kufanya haya mambo in no time ...I am telling you
Tanzanite ina jina la Tanzania lakini hamana hata mtu anayejua kuwa ni ya Tanzania au kuna nchi inaitwa tanzania. Ni wachache sana wenye kujua jiwe hilo linatoka bongo...