kamishana mkuu wa magereza afande nicas banzi akiaga leo asubuhi baada ya kulitumikia jeshi hilo kwa miaka 34. sherehe hizi zimefanyika bwalo la maafisa wa magereza ukonga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 20, 2007

    Baada ya kazi "nzuri" ya vijana wako kuwapiga "mapaparazi" pale Ukonga, sasa unastaafu. Tutakukumbuka kwa uovu huo pia.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 20, 2007

    Naomba kujua sababu ya kutinga hizo groves.
    Hongera kwa utumishi huo wa muda mrefu.
    Vipi msongamano magerezani,umeushughulikia ipasavyo?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 20, 2007

    Thanx for serving our country.

    You have enjoyed a long and productive career of which you can justly be proud

    Hope your retirement is everything you expect it to be and much more.

    Best of luck on your retirement

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 20, 2007

    hatutarajii kusikia kuwa ulitumia madaraka yako vibaya

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 20, 2007

    hatutarajii kusikia kuwa ulitumia vibaya madaraka uliyokuwa nayo!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 21, 2007

    Safi Sana Kamanda Banzi. Tunakutakia kila la heri katika maisha yako mapya ya kustaafu. Umejitahidi sana hasa kukarabati lile ghorofo ambalo sasa litakuwa makao makuu ya jeshi la Magereza.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 21, 2007

    Kamanda Banzi ni mmoja wa viongozi wachache sana, nchi hii ilibarikiwa kuwa nao. Jamaa ni mnyenyekevu na mchapakazi wa kikwelikweli. Maisha yake yote hakutaka makuu, kwa kifupi ndio mkuu wa jeshi wa kwanza Bongo kuishi Uswahilini UKONGA MADAFU na baadaye kuhamia kwenye nyumba yake UKONGA MOMBASA katika maisha yake ya utumishi.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 21, 2007

    May god be with u... well done.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 21, 2007

    Anon wa June 21, 2007 12:30:00 PM EAT, umemsahau na IGP Mahita aliyekuwa anakaa kwenye nyumba yake pale Ukonga Mombasa. Ni uswahilini asikwambie mtu

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 22, 2007

    Geshi ra mageresa umeritumikia vizuri sana, Japo najua wewe hujakifaidi sana kiti hicho unachokiacha na ninaamini kuwa unatamani kubadiri katiba iri uenderee. Kama sikosei uriingia kati ya 2001 au 2002 kuwa mkuu wa mageshi ya mageresa.

    Kawa wadau warivyosema hapo hatutarajii kusikia ulikuwa na makovukovu katika kamuda hako kadogo ka ukuu wa mageshi na muda mrefu wa miaka 34 ya kuwapiga virungu wafungwa.

    Mwita kisiri anakutakia maisha marefu na yenye afya kwa kuwa bado anaamini ni mutu swafi ira ikionekana vinginevyo mwita hahusiki na kukutakia maisha marefu na yenye afya.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...