??

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 17 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 04, 2007

    Issa we mchokozi sana......Haya..

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 04, 2007

    Anko michuzi hiii nimeipenda.. yani wewe unafalisha sister zetu jezi yako kabla ya friendly match.. au kavaa mwenyewe?

    Anko michuzi hii ni tamu. Mtoto katulia dunia nzima.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 04, 2007

    Michu,

    Huyu ndie shemegi?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 04, 2007

    Ah Maalim Issa kumbe unajua Marketing wewe. Hii safi sana sio kila siku unapromo vya watu, sasa ni wakati wa ku-promo na vyako pia.

    Huyo dada umechagua safi sana. Sasa tuambie hizo items zenye jina lako zinapatikana wapi?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 04, 2007

    Kaka Michuzi nilikuwa nakuheshimu sana ila unakoenda sasa ni kubaya, unahitaji kuambiwa. Huyu mtoto ulikuwa unamfanya nini? Hayo macho yanainyesha kuna kitu kisicho chake kimegusa mwili wake. Halafu bora angekuwa hivi ila ni mbele, sasa umemuwekea kwa nyuma. Nakushauri kama unataka tuyapne hayo maandishi muwekee kwa mbele, na jezi iwe na jina lake.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 04, 2007

    michuzi , angalia yasikupate yaleyale ya Chifupa. kwanini avae t shirt yako? kumbuka amina alivaa koti la kabwe Pale dodoma hoteli na kilichotokea unakijua, anyway yu wapi Masasi? Mbona siku hizi huleti habari zake?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 04, 2007

    Anaonekana kama Tanzania's own video girl Cynthia Masasi - check her out at www.cynthiamasasi.com

    Sasa sijui Michuzi kamtoa wapi.......au labda ni mwingine - sasa si ungetoa credit basi tujue ni nani manake hata caption ya picha hi ni kiulizo.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 04, 2007

    michu, masasi kakupa nini lakini au nyumba ndogo nini!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 04, 2007

    michu, masasi kakupa nini? au nyumba ndogo nini maana hamkawii kuokoteza vya mchangani!

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 04, 2007

    Cynthia kope zako za kubandika nzuuriii...

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 04, 2007

    Tupatie picha zako wakati ukiwa golikipa wa timu yetu ya Shangwe ya pale kota tuzikumbuke

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 04, 2007

    CYNTHIA MASASI TENAA!!!!!!
    MICHUZI ACHA HIZO..

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 04, 2007

    TUMEMCHOKA MASASI NA TULISHAKWAMBIA WE LIBISHIII KA DAGAA WABICHI!

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 04, 2007

    Ati wadau, kwani huyu ndio Cynthia???

    ReplyDelete
  15. Itabidi na mimi nimtafute huyu mrembo kusudi nishindane na Bwana Michuzi. Najua kuwa yeye mwenyewe aliwahi kuandika huko nyuma kuwa Michuzi anajua makali yake, ngoja na mimi niyajaribu. Next week nitakuwa Atlanta. Nitamtafuta nimwekee mkwara mkali, inaweza kuwa ndiyo nafasi yangu ya kukanyaga anapokanyaga Michu, you never know.

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 05, 2007

    WAJAMENI HAYA MANYWELE FEKI KINA DADA ACHANENI NAYO KAENI NACHORO, MMEMWONA HATA FLAVIA ALIVYOKUWA NACHORO?? ANAPENDEZA, KAMA HAMUPENDI KIPILIPILI, BASI KATA NYWELE ZIWE FUPI KAMA ZA FLAVIA

    ReplyDelete
  17. AnonymousJune 07, 2007

    Sir Issa HABARI ZA LEO MAALIM...PICHA TABASAM HII HUYU BINTI ANACHEZA NAMBA NGAPI MAALIM.."..INASEMEKANA HUYU CHAUREMBO MUUNGWANA.."..ISSA NAONA UMETUPATIA PICHA NUSU...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...