DAKIKA HII TAIFA STAAZ WAKO BUNGENI DODOMA KUSALIMIA WABUNGE. PCHA NA HABARI ZAIDI BAADAYE. HAFLA HIYO IMERUSHWA LAIVU NA STAR TV NA TVT KATIKA HATUA YA KIHISTORIA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2007

    Doh..! wanasiasa wameshaingia tayari!! Safari mbona bado wazee!!? msije mkawachanganya hao vijana!Anyway mimi kwa kawaida nawaogopa sana wanasiasa hasa wabongo samahani kama nimewakwaza-Cass

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 18, 2007

    Bungeni mnawapeleka wakafanye nini huko!? jamani!! nyie wabunge simnatakiwa kujadili bajeti sasa!? mnataka kutuchanganya akili ili tusifuatilie mjadala wa bajeti nini!? Janja ya nyani hiyo,wapongezeni hao vijana kisha tunasubiri mtupe mjadala wenye akili-Mlewa.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 18, 2007

    Kwa kuwa vijana wetu wameitoa nchi yetu kimasomaso japo bado hatjafanikiwa kwenda Ghana, ni jukumu la serikali kuwapa zawadi ambayo haitafutika katika historia ya maisha yao. Kama inawezekana wapeni vijana viwanja vya kujenga nyumba zao huko Boko au Bunju. Please help them!- Its me De.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 18, 2007

    Hivi Kaka Michuzi, mimi sio mpinga umoja wa nchi yetu au sio mpinga michezo, Lakini hebu tuzungumze ukweli-hivi kweli muda na risosez zote hizi tulizopoteza kwa ajili tu ya kuwapokea Taifa staz zilistahili kweli jamani!?! Au ni ulimbukeni wetu tu?
    Ushindi tulioupata sio UBINGWA bado tuna safari ndefu, kweli tulihitaji kup;oteza pesa na muda wote huo kushangilia ushindi ambao sio ubingwa jamani? Vandumwe!
    Bunge limepoteza muda wake wa maana wa kujadili maswala muhimu ya kitaifa eti kuwaona na kuwapongeza.
    Ule muda wa bunge uliopotea utafidiwa kwa kuongeza siku za bunge mbele. Siku hizo zikiongezwa maana yake ni kwamba wabunge wanalipwa hiyo siku ya ziada. Hiyo pesa inayolipwa ni kodi ya mwananchi wa kawaida. Let us be serious jamani Mweeh!
    Radio Tanzania inaacha kutangaza mambo ya muhimu inaiba muda eti kutangaza live mapokezi ya timu ya taifa kila wanakokwenda. Vitu kama matangazo ya vifo ambayo ndugu wanatakiwa wapate taarifa za haraka yamecheleweshwa eti kisa taifa staz. Gharama ya hii haionekani imidiateli lakini mwisho wa siku ni mwananchi wa kawaida/mlala hoi ndio anaibeba.
    Hivi Michuzi what was so special hapo. Je timu ya kriket au netboli ikifanya kama hivyo tutafanya kama hivi tulivyofanya?
    Narudia sio mpinzai wa michezo au umoja lakini nina uchungu sana na nchi yangu hasa nikiona risosez zinapotea bure kam hivi na m bebaji mzigo ni mlala hoi. Hivi hata hao wafadhili wanaotupa hela za kuendeshea inji hii wakituona hivyo tunavyofanya si wanatusikitikia sana jamani? Hivi hata vitu hivi ambavyo viko vere ovias tunasubiri kwanza mpaka tuje tufokewe au tutishiwe kusitishiwa misaada na wafadhili jamani kwamba wenyewe hatu reason kweli jamami! tutishiwe
    Nina uchungu sana na nina mengi sana ya kusema lakini wacha niwaachie nafasi na wenzangu. Mnaohusika naomba mlione hilo. Hiki ni "kilio cha mtu mzima" jamani! Ohoo!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 18, 2007

    TVT, kama "Transimissible Venerial Tumour" vile

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 18, 2007

    Jamani, hivi bongo ni toka lini sisi tunajua mpira?? Hakuna kitu bwana, I am just watching and I know hawa Stars they are just raising people's hope to see them come crashing down so hard!! It will be so painful, painful!!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 18, 2007

    Hivi Timu Ya Taifa inafanya nini Bungeni Dodoma kwa wabunge ambao asilimia kubwa ni wazushi na hawana lolote wanalolifanya katika kuijenga nchi yetu. Wabunge wa Tanzania karibia wote ni vibaraka tu wa Serikali na kazi yao ni YES SIR kila wakati serikali inapoamua jambo. Timu ya Taifa bora mkasalimie wananchi wa kawaida tu na sio hao wabunge.

    Subiri muone hii bajeti itakavyopitishwa bila ya mabadiliko.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 18, 2007

    lete raha kaka Michu wa Mirost!! Tunasubiri vitu hapa leo hatoki mtu mtandaoni!

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 18, 2007

    Michuzii vipiiiiiiii???? Mbona hakuna update? Tunasubiri yaliyojiri Dodoma na JK eapoti wanaume walipowasili.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 18, 2007

    Nimesoma kwenye gazeti la mwananchi kuwa wachezaji wanapewa a lot of millions, kwanini wasijenge shule? wabunge jadirini mambo muhimu ya nchi....

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 18, 2007

    Wewe bwana Michuzi unapenda sana mambo ya Liverpool and Jaydee, lakini Stars No, hata majina ya wachezaji hujui bwana? picha za mapokezi.... ingekuwa Jaydeee and wengine ungekuwa tayari umeweka.... asante bwana,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...