inzi hana adabu. hapa kaniharibia ulaji...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 13, 2007

    Michu man! yo're a wicked photographer...I like you guy!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 13, 2007

    michuzi laiti kama tungejua huyo mdudu hapo anaacha funza wangapi, sijui kama tungeruhusu kutua kwenye miili yetu.
    kama una wa mchezo, tafuta magnify glasses kubwa kiasi na uone jinsi gani mdudu huyo anavyosambaza maradhi anayoibua toka kwenye uchafu na kujaza kwenye miili ya wanadamu.
    Ni rahisi sana kuona funza anaowaacha tena ndani ya mwili. mvizie anapotua, mpe muda halafu uone madhara yake. Hatari sana.

    ReplyDelete
  3. huyu inzi amesikia harufu ya cocoa butter lotion yake aliyojipaka akasema ulaji si huu ngojea nitue hapa nipate lunch

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 13, 2007

    mmmmhhh huyu mdada na madoadoa sijui ungeonyesha sura yote ingekuaje nadhani ndo maana naona hata huyo inzi ametua

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 13, 2007

    Duh,wewe kweli mpiga picha.yaani huyu inzi umemweka apozi au? Nimesoma mahojiano yako pale bongocelebrity.com.kumbe kaka umetoka mbali..big up mithoup!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 13, 2007

    Michu hebu tupe angalau sura nzima ya mteja wako basi. Japo kichwa tu!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 13, 2007

    Halahala huyo inzi na NAirobi red eyes.

    Mhhhhhh huyo dada ututumie picha yake kesho tuone macho yake.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 14, 2007

    Michuzi,
    Kwani usafishaji wa picha zako ukoje? Mbona unatuangusha kaka. Basi tuseme Tanzania tuko karne ya 15 labda. Wenzio huku nchi za watu wanasafisha picha inatoka bila ya huyo nzi. Ni kwamba Dar hatuna tekelinalokujia la kufanya hivo? Mie nilishapigwa picha baada ya ajali, kwakuwa picha yangu ilihitajika kwa maswala maalum, basi kovu la usoni liliondolewa na mpiga picha wakati anasafisha. Kuna program simple katika kompyuta kaka. Usipoteze pesa ndogo ndogo kama za huyo dada.

    powaaaaa

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 15, 2007

    Michu aminia, naona umewakamata wengi na picha ya inzi, kuna mdau anadhani ni kweli huyo nzi amekuharibia ulaji anashindwa kuelewa kwamba wewe ni mbunifu na mjanja wa kuibua mijadala. Kwa taarifa yako wewe unaedhani bongo hakuna teknolojia ya ku-manipulate images umeuwawa!Ila kama ulitaka kujitambulisha kuwa upo Ulaya nadhani message sent!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...