Home
Unlabelled
jina
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi
ReplyDeleteTunashukuru kwa picha nzuri nzuri za maeneo mbali mbali.
Mimi kwa kweli macho yangu naona haya nguvu ya kutosha nimeshiondwa kusoma jina la Wanja letu, unaweza kutupatia picha ambayo inaonyesha vyema au tuwekee jina kwenye caption maana tuna hamu ya kujua laitwaje hilo wanja weye.
Sele- Montreal
Jina tayari?
ReplyDeleteMAXIMO NATIONAL STEDIUM AU
ERASTO NYONI '' "
NIZAR KHALFANI
sasa hiyo ni barabara au...Na lango kuu hapo hapo au ni danganya toto tu. naona barabara ya lami na kama hapo ndio itakua main gait sijui pataingilikaje. Naomba utueleze. kwa vile hata kama hilo jina ni la kutangaza tu lipo karibu sana na barabara na hamna hata atakayeliona . Isije wamepoteza tu hela kwa hilo jina kila neno sijui linacost gani.
ReplyDeletenaomba kuwakilisha