kuna mdau kaleta hii sasa hivi...
Kaka michuzi,
Mungu yu pamoja nasi. Japo nipo job, jamaa nimewaona na wanafungika tu. Inshallah tusubirie 45 za mwisho. Ila ndo nna wasi wasi kidogo, yawezakana hawa JK boyz huwa na ari na mori zaidi JK mwenyewe akiwepo uwanjani,kama ni hivi itabidi prezidaa awe anahudhuria mechi zote sasa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 16, 2007

    Mdau....tuhabarishane basi hilo gemu unaliangalia kupitia tovuti gani..?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...