wadau sasa ni mapumziko huko wagadugu na hadi sasa mambo ni 0-0. tumeshambuliwa kinoma nusu ya kwanza, ambapo wao wamepata kona 4 kwa yetu moja. midfidi yetu inapwaya kichizi na difensi haina kodinasheni ya kutia moyo. hata hivyo nyanda ivo mapunda yupo imara...

fuatilia http://news.bbc.co.uk/sport2/hi/football/africa/6759819.stm

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 16, 2007

    duh! sasa sijui itakuwaje.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 16, 2007

    du na hapa tulishafungwa ila ni goli la offside aaa salalee...

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 16, 2007

    Michuzi, nimepishana njiani na mtani wetu, yuko hoi bini taabani anapelekwa ICU.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...