hii ndo kazi ya kutwa nzima ilofanyika leo ya kufukia handaki hili kwa tope

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 08, 2007

    Sasa na mvua zote zinazonyesha sasa hivi hii itachukua tu siku kabla hujakuta handaki jingine kubwa hata kuliko hilo la mwanzo? Na sinasikia hizo kokoto wamachinga wanaziiiba usiku kwa hiyo nasikiaga hazisaidii. Mimi nilivyotembelea Tz karibu nilishangaa sana kuona handaki kubwa kwenye local road ya kuingia nyumba ya wazazi wangu yaani haya michuzi anayoonyesha moja moja hayafahi kitu. Huko barabara ipo lakini magari inabidi yapite kwenye curb kufikia yanapoenda kwa wingi wa mashimo yaani gari linaenda zig zag left and right. Nilisuggest kuwa ningeweza kulipia temporary fix ziwekwe kokoto lakini niliambiwa hizo siku ya pili yake ningekuta zimeshakwenda kufadhili mtu mwingine...ndiyo hali halisi ya bongo kwa kweli viongozi wanatakiwa kuchukulia hii hali hatua ya maana.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 08, 2007

    UHANISI MTUPU UNAENDELEA BONGO,TATIZO WASANII WENGI!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 08, 2007

    kama budget ya hela hawajapewa wao wafanyaje...hela ya kutengeneza mapotholes hamna...jiji labda halikupewa au halijui kukusanya mapato yake vizuri ili vitabu vibalance...


    kasumba yetu tunajenga nyumba nzuri lakini hatuweki hela ya repair and mainatance kila mwaka...nyumba imejengwa miaka ishirini rangi iliyipakwa ikijengwa ndio hiyi hiyo mpaka leo...

    hatujali kutnga hela ya maintanance kabisa.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 11, 2007

    Hivi hiyo ya udongo in cost shs ngapi na itadumu kwa muda gani? na Ya lami ita cost how much na ituduma muda gani? na reputation ya udongo versus ya lami ikoje? then tuamue tuna ziba kwa kutumia nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...