jaquiline ntuyabaliwe a.k.a klynn ameshakamilisha albamu yake ya pili na ataingia sokoni punde

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 38 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 15, 2007

    She's cute!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 15, 2007

    Naona wameanza ku learn..kumbe blog ya michuzi inasaidia sana au atleast huyu makeup zake ziko poa leo...kwa vile bongo kwa kujiganda hayo ma make ups...


    Hey ladies ...remember women have used makeup for centuries, not only to improve their appearance, but also to make themselves feel good. Although the purpose of makeup is to enhance beauty, if it is not applied well, it will diminish a woman's natural beauty.

    Sometime I see these women on Michuzi blog and would like to wipe off and reapply.

    You must see your beauty and not your makeup.

    Simple rules
    Know your style, know your personality, don't borrow your friend's foundation or bronze

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 15, 2007

    Wow, mwanamke mzuri saana, I love her gesture and skin.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 15, 2007

    Waswahili say something on the lines of "Si hoja sura, bora tabia..." and hii ni kweli kuhusu huyu dada - na i am not talking about relationships bali tabia mbaya ya kudharau watu.
    Then kuna issue ya kuimba - kusema kweli kuimba kupitia pua is not singing - maybe Klyn ungeangalia to do something else maana you aint going far with this one - and hata ukifyatua rekodi mia kwa mwaka, hamna kitu - jaribu kutafuta fani nyingine - sio lazima kitu kitakacho kufanya famous - labda fani yako ni katika kusaidia watu - meantime, be kind to people na milango itafunguka - si uonevu huu - ni being cruel to be kind ....

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 15, 2007

    Anon hapo juu, acha ROHO MBAYA! Kila kitu its all about trying! Watu wengine....Iam so annoyed kwamba in this century kuna watu..ambao bado kazi yao ni kukatisha tamaa wenzao! Thats unfair.....

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 15, 2007

    Mdau hapo juu huelewi kwamba music is about taste. Huyu binti kazi yake imetulia. Kili Awards ambayo hupigiwa kura na wananchi wa kawaida huyu bibie alikula chati.

    Kuhusu tabia yake binafsi, sijui kwasababu simjui. Ila muziki wake naukubali.

    Mkubwa ulijependekeza ukashushuliwa nini? Au uliingia kwa gia ya Bajaj?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 15, 2007

    michuzi naomba utuletee picha ya yule presenter ya sijui ITV anaitwa Irene.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 15, 2007

    Basi tupeni link online au some site tupate kununua hizo CD za Bongo.....natafuta ya huyu Dada Klynn, Matonya and some some....TUNAOMBA link au site....

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 15, 2007

    Sidhani kama huyo anon ana roho mbaya, ila anaongea kutokana na experience yake. Klynn, ni msichana mzuri, only if tabia yake ingeendana na beauty aliyonayo (I'm also not talking about her sexual relationships). Mimi nimeshawahi kukutana nae mara moja tu na hakuacha impression nzuri kwa bahati mbaya (as we all know, the first impression always lasts). We were walking on opposite directions and she almost bumped into me; I don't know if I am too invisible, or maybe I was supposed to cross over to the other side of the road so that Her Royal Highness apate enough space ya kutembea?? Anyways, nilishangaa. I still like her and her songs a lot(though as anon said hii ya kuimbia puani inaboa kiasi fulani), I took her CDs when I was coming up here, and have absolutely nothing against her. Beauty is in the eyes of the beholder, so in the end, we all look beautiful to the people concerned with us. Oh, and I am a woman by the wayz.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 15, 2007

    kusema za ukweli mwanamke yeyote mzuri ukisha kuwa mjivuni na dharau uzuri wooote unakuwa giza nawaunga mkno na miguu kwamba hajui kuimba vizuri hata sanjaya ana nafuu iwouldnt by her Cd na nyimbo zake ni za mabwana tu nothing like jide

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 16, 2007

    K-lynn full kicheche huyo msimuone anavutia tu.

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 16, 2007

    kwani huyu dada kabila gani?

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 16, 2007

    Jaq ni muha kwao Kigoma

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 17, 2007

    sio mha bwana,ni mnyamurenge pyua.

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 17, 2007

    hivi huyu mtoto keshaolewa?natamani nimnyakue ka tai niambae naye ughaibuni,yes watasha waanikoma!

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 17, 2007

    Michuzi na wdau wa blog hii habari nzenu!Ni kweli dada anavutia kiasi flani haswa akijibwedeka ma make up yake!Ila hana tabia nzuri kabisa wajameni na ana dharau sana tofauti na wana music wanaojua kuimba.Ona wakina Jide,Ray c,Izi bend wanavyocheka na wteja zao na wanafanikiwa ivi unajua sisi tunao sikiliza kazi yako ni wateja zako ww binti?ACHA DHARAU,tutakuwa hatununui kazi yako na utaendelea kutoa Album tu mpaka utachoka ila kazi yako sisi wala.Jirekebishe mwanawane,usiwe kama mdebwedo.kudadadeki.Mkandamizaji!

    ReplyDelete
  17. AnonymousJune 17, 2007

    Mmmm! Kwanini huyu sista duu hafanyi ziara ya hapa USA, kama ana ka-attitude atakoma ubishi kwani hapa watu tuna attitude, atatia adabu na kama anafikiria ni mzuri ndipo atakapojua kwamba hapa kuna warembo mpaka utachoka mwenyewe.

    ReplyDelete
  18. AnonymousJune 18, 2007

    Acheni kumchambua dada wa watu, Aliyesema anaringa jamani ni mmbaya wake alimtoa knock out kwenye game ya ma..na. sasa lazima amkandie si unajua ukienda bagamoyo kwa babu lakini bado unashindwa lazima utumie upondaji.

    Klynn ni msanii mzuri na hana majigambo wala nini na anajua maana ya kazi, tatizo la wabongo wakiishaona msanii mrembo wanataka kumfanyia usanii mpaka mwili akiwa stable wanaanza siliba.

    Klynn usisikie kelele za mlango...

    Fanya kazi unakubalika sanaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  19. AnonymousJune 18, 2007

    Mimi nimeshawahi kukutana na klyiin na niliongea nae na sikuona kama ana dharau yeyote labda tu ni mpole.Namimi binafsi napenda sana nyimbo zake na watu wengi sana wanampenda nafkiri maoni ya wengine ni chuki binafsi tu!

    ReplyDelete
  20. AnonymousJune 18, 2007

    So many haters!!hivi watu mnamchukia mtu bila kumjua huyo dada wala haringi.Nyimbo zote alizotoa zimekuwa hits tunazisikia redioni kila mara.Waswahili tujifunze kujenga sio kubomoa na kukatisha wenzetu tamaa

    ReplyDelete
  21. AnonymousJune 18, 2007

    she is a true star,so cute and proud and very talented.huyu angezaliwa nje angekuwa mbali sana maana huko kwa wenzetu wanafuatilia na wana apreciate talents za wasanii sio kama sisi kazi tu kuona wivu.

    ReplyDelete
  22. AnonymousJune 18, 2007

    klyinn wala usiwasiklize hao wewe miziki yako ni bomba na unakubalika.kaza buti

    ReplyDelete
  23. AnonymousJune 18, 2007

    GOOOOSH SHE IS SOOO DAMN BEAUTIFUL,WISH I COULD EVEN KISS HER HANDS

    ReplyDelete
  24. AnonymousJune 18, 2007

    Wewe hapo juu unanishangaza sana eti klyin anaimba kuhusu wanaume tu kwani huyo rayc anaimba nini zaidi ya nyimbo za nakupenda kila siku,jamani acheni chuki za wazi ndio maana hatuendelei.

    ReplyDelete
  25. AnonymousJune 18, 2007

    this girl rocks,keep it up.where can i buy her music?

    ReplyDelete
  26. AnonymousJune 18, 2007

    kaka michuzi hivi nitapata wapi cd ya klyinn napenda sana nyimbo zake

    ReplyDelete
  27. AnonymousJune 18, 2007

    huyu binti ni bomba sana na kipaji anacho kweli mungu kampendelea

    ReplyDelete
  28. AnonymousJune 18, 2007

    Jamani mwenye haki mpeni huyu dada anaimba vizuri na sidhani kama anaringa mbona mimi na rafiki zangu tulikutana nae tukamuongelesha akawa mchangamfu sana tu

    ReplyDelete
  29. AnonymousJune 18, 2007

    Concluder huna lako - kama huyajui kaa kimya. Huyu Jackie ana roho korosho - si uvumi wala roho mbaya - kila aliepata bahati mbaya kukutana nae anajua. Wengine mnasema ati maana ni mzuri basi wadau wanamwonea wivu - Ray C mzuri, tena ana shepu - mbona hatujamsagia? Kama mnampenda semeni tu mnampenda hata kama imba yake ni taka tupu - lakini waacheni watu waponde kwani kila mtu ana huru na maoni yake - Haki Elimu!!!!!!

    ReplyDelete
  30. AnonymousJune 18, 2007

    Nyimbo za wanume za Ray c ni za nakupenda za klyn
    1. nikipata wangu sitaki mtu amshike mkono
    2. besti umeniibia bwana wangu
    3. kamani penzi utapa ukimwacha
    4. im crazy over you acha vituko
    5.wimbo alioimba na bushoke ni mzuri sana ila kasema hataki mabwana wanojua kuforce
    kwa hiyo maudhui yake yana chezea palepale kama ni mkongwe aimbe mapenzi positively na apanue wigo wa sanaa yake otherwise anajibrand vibaya. vile vile mwambie aimbe acapela uone utakavyo ziba masikio

    ReplyDelete
  31. AnonymousJune 18, 2007

    haki Elimu wewe ndio nilkuwa nakutafuta, baada ya kuona maoni yanabadili muelekeo umekuja kusiliba eee. Kwa taarifa yako kila mtu hakosi wabaya kama ambavyo wewe ulivyokuwa mbaya wa Klynn lakini kumbuka Huyu binti yupo juu hata useme nini yaani utaishia kusiliba humu kwenye mtandao lakini binti anapeta tu.

    We acha chuki binafsi hata kama alikupiga KIBUYU ni kwa sababu aliishakuona una sura mbaya na roho mbaya kuliko hata ya SCARFACE.

    Klynn wengi tunakupa tano fanya kazi unakubalika kwa sanaaaaaaaaa

    achana na watu kama Haki Elimu a.k.a Roho ya Kutu.....

    ReplyDelete
  32. AnonymousJune 19, 2007

    nakubaliana na concluder,klyinn ni mzuri na anaimba vizuri sana acheni wivu kwanza watu tunapenda sana nyimbo zake,ametoka mbali tokea enzi za tanzanites kama angekua hajui kuimba asingekua hapa.

    ReplyDelete
  33. AnonymousJune 19, 2007

    nampenda sana huyu dada kuanzia anavyovaa,kuimba mpaka tabia nyie mnaomsema vibaya mtakua hamjui.klyinn mwaya usijali maneno ya kipuuzi,endelea na kazi nzuri

    ReplyDelete
  34. AnonymousJune 19, 2007

    cutest celebrity in bongo

    ReplyDelete
  35. AnonymousJune 19, 2007

    jamani mpende msipende klyinn ni bomba na anaimba vizuri,msiompenda ni wachache

    ReplyDelete
  36. AnonymousJune 24, 2007

    Concluder et al, kila mtu ana haki ya kutoa maoni kutokana na experience yake; please dont be judgemental on other people; I'm trying not to be judgemental on you. It's really up to her; if she wants to take these comments and work on herself, so that she becomes a much better person. Otherwise, hakuna mwenye wivu hapa mpenzi. Most of us are educated people with good life, beautiful families and bright future. PS: I'm the one who almost got bumped by her and, believe me, I was giving my honest opinion. Thank you ladies and/or gentlemen.

    ReplyDelete
  37. AnonymousJune 24, 2007

    By the ways uzuri wake unaishia kwenye sura tu, if you ask me I would say Ray C is 10 times more beautiful than this skinny creature. Ray C has a womanly figure baby! Wapambe mtanisamehe, these are honest opinions.

    ReplyDelete
  38. She is soooooooooo cute ! ! ! Malaika walijituliza walipokuwa wanamuumba..I will not hesitate to pay Shillings ONE MILLION just to have dinner with her. I mean DINNER.Msiwe na fikira mbaya yoyote ingine.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...