Home
Unlabelled
ngomaz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
heee mbona hamna maharusi wala watu walikwua wanamtumbuiza nani?? au ilikwua liheso halohaloooooooo
ReplyDeletehayo mambo ya nyanda za juu kwa kina rweyemamu,rutashobya,mama kokku...
ReplyDeleteAkanana imechanganya hapo.Hapatoshi,baati roof ipo mbali.
He he, levitation in the offing!! steved.
ReplyDeleteNdio mama kokku naona jamaa wamkukumbusha bk na muyayamo. mpe hi salum na kokku
ReplyDeletedu hawa jamaa kwa ukabila ndo wenyewe ukitaka kujua hudhuria harusi zao utaona walivyo wakabila...
ReplyDeleteHija..zenji
Anon hapo juu, ukabila? kila mtu anafagilia kabila lake kiaina ni kawaida. Ukabila wetu TZ hauumizi mtu, Tanzania ni one of the few african countries ambao hatutilii sana maanani ukabila. Tembea uone mataifa mengine yaani hata sehemu za kuishi ni kwa ukabila sio kama sisi mfano kwenye flats utakuta makabila yote wapo.....nk.
ReplyDeleteBe proud to be a tanzanian kuna watu/hata wazungu huwa wanatu envi. Though sometimes I think we just too humble!!