Home
Unlabelled
picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
let's talk facts here.in my view, radio is still the most used form of medium in Africa.it's the cheapest, it's the most mobile [ubiqutous] and above all it just works perfectly.
ReplyDeletebbc idhaa ya kiswahili inasikilizwa na watu milioni 20!inashangaza kuona wachache wanasema radio imepitwa na wakati.msisahau kwamba tanzania kuna tatizo la umeme, interenet connection ziko slow na expensive.
na kwa mnaosifia tv, naomba mnitajie tv stations ngapi zinatoa vipindi vya kiswahili katika news and current affairs kwa quality inayokubalika.
wengi wanaonyesha kwa kiingereza, tuna wazungumzaji wangapi wa kiingereza?mbali na hayo input ya watanzania katika cnn et al ni kiasi gani.
of course radio inabadilika, kutoka shortwave to digital radio.
Eti Michu? who is this sweet boy? Hana pete! is he available?
ReplyDeleteAnony 1:38 pm Kulikoni??????
ReplyDeleteMICHUZI PLZ. WE ARE NOT JOKING AT ALL. TUPE HABARI ZA MBUNGE WETU AMINA CHIFUPA.ANAUMWA NINI NA YUKO KATIKA HALI GANI. KWANINI TUTEGEMEE MAGAZETI YA UDAKU? MICHUZI SIKU ZOTE TUNAKUAMINI TUNAJUA HUWEZI KUSEMA UONGO KATIKA HILI MAGAZETI YANATUCHANGANYA. TAFADHALI TENA TUJULISHE.
ReplyDeletekweli mtu aachi asili yake mechi zinachezwa uingereza watu bongo wanaloga mambo gani hayo michuzi kwenda makaburini siku ya mechi za liverpool,halafu kuhusu hao jamaa wa juu watoa maoni wananishangaza mambo gani viingereza vingi kwani hamjui kwamba hii ni ya watanzania,VIINGEREZA VYENYEWE NI VYA AKADEMI.
ReplyDelete