dah! kukosa refa tushalala moja. kachomoa moja sasa hivi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 16, 2007

    Defender kapewa kadi nyekundu kampiga kichwa maftah

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 16, 2007

    Kaka michuzi...
    Tunashukuru jamaa kajifanya zidane kamtandika kichwa amir maftaha na ametolewa nje kwa kadi nyekundu..
    nahisi itakuwa nafuu kwetu

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 16, 2007

    Michuzi bado dakika 5. Huu mji utakuwa hautoshi kesho! Naogopaaaaa! - OC-Sinza

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 16, 2007

    Yaani wachezaji wengine ziro kabisa, huyu Nsajigwa na yeye anafanya nini sasa???Watu tumezidiwa mechi nzima na pindi inapoonekana kama tunapata ahueni yeye anaenda kulimwa nyekundu.Kaniudhi sana huyu

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 16, 2007

    Stop the Press, Henry Joseph Shujaaaaa. Fahari ya watanzania. 1-0

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 16, 2007

    Wazee mechi ya Msumbuji itakuwa muhimu sana, tuzidi kuomba dua. Hapa Kesho kwa vyovyote vile Msumbiji wanashida au sare, kwa hiyo sisi tujiandae sana, Msumbiji wamebadilika sana, wana kocha mpya halafu wafadhili wengi kwa sasa. Kwa mfano mechi ya kesho wakishinda kila mchezaji atapata $1200,

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 17, 2007

    Hongera taifa stars kwa ujumla,na pole ndugu yangu Amir Maftah kwa kupigwa kichwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...