Home
Unlabelled
shabaha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi inaelekea unaujua vizuri huu mchezo, I can see the swing.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteUna-cheza Bowling na raba za Squash!..
hapo sea cliff wanavyo viatu maalum vya huo mchezo.
napata shaka na mapenzi na ushiriki wako ktk mchezo wa bowling. au ndio mambo ya A1 outdoor???? matangazo ya baishara in the name of 'hobi yangu'
Du! huyo mchina yuko peku lakini bwana mich kavalia raba mtoni... je? usawa unaoletwa na viatu sale sale kwenye bowling upo bongo?!! au membership yako bwana mich ni premium?!! steved.
ReplyDeleteMichuzi, I have personally analyzed you as a person who loves events, actions, light moments in your life na unatufurahisha sana tukisoma blog hii, leo uko sherehe hii, kesho event hii, na picha nyingi either wewe na rafiki zako etc, swali langu Michuzi, I have not seen you with your wife especially kwenye sehemu ya 'light moments' kama bowling, I as a woman nadhani japokuwa hatakuwa ananungunika, but she would really love to be with you sometimes na mpige picha kama family especially in occassions like the one right now, na uziweke kwenye hii blog. Concerned sister! Well, kama huna mke, I am sorry
ReplyDeleteNamuunga mkono huyo dada hapo juu. Pia kuna ombi kwa bwana Michuzi, je,ile picha uliyo piga kwenye shughuli maalum pale YMCA, sikumbuki tarehe maana imekuwa kitambo sasa, hata hivyo nadhani nikati ya mwaka 1991 au 1992, siku hiyo ulitakiwa usiweze kabisa kupiga picha,wakina Black Moses walikuwa wanatumbuiza, na timu yote ya dailynews ilikuwepo kushuhudia tukio hilo,lakini walivyo kuambia tu kuwa huwezi kupiga picha, mara ulichomoa ka kamera kadogo kutoka katika koti lako mandhari ulilovalia siku hiyo na kuwapiga watu picha ya ghafla... ombi langu basi ni kuwa, hiyo picha bado unayo?!! Picha nyingine ambayo naulizia ni ile uliyopiga siku Tambaza walikuwa wanacheza shindano la mpira wa kikapu pale viwanja vya Zanaki miaka hiyo hiyo ya 90na, picha hiyo ilikuwa ya shabiki wa Tambaza ambaye alikuwa amevaa bandeji nyeupe mwili wote na kuachia macho tu, je hii nayo bado unayo?!!:-) SteveD.
ReplyDeleteBinadamu tuache wivu Michuzi anachezea madungu amuoni kama anafyatuka mlichoona ni raba zake je huyo ponjoro mbona hamsemi au siyo kawaida ya ponjoro kuwa peku. kama silaha zielekezwe kila upnde siyo Michuzi pekee. halafu Bro michuzi line(chief photographer naomba niwekee picha ya BOB CHURA(chief security YMCA wakati wa neema kabla hakuvamiwa na watoto wa uswahilini)
ReplyDelete