haw tu tek smolu nidi in ze rodi kwa pembeni. hahahaa nakula zangu tizi hapa na nikikiweza kiinglishi mtanikoma. hata hivyo nadhani ujumbe iz richebo hapo....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 11, 2007

    mara kwa bahati mbaya ze sneki akatokea mbele ya ze nyeti sijui atafunga wapi kazi ipo....

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 11, 2007

    Shauri zake bo iking'atwa na nyoka
    Wanaume hawana haya hata kidogo. Kuna siku niliona mzee kainua kanzu kachuchumaa na kunya mbele za watu pale Faya.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 11, 2007

    ha ha ha ha Today a woman caught stealing 2 ply toilet paper from courthouse. The funny party is her name is Marie Butts. I am not kidding and now she could face 3 years in jail just because of 3 rolls of TP. That's insane.

    I understand the last names in the USA derive from professions in the golden days? I have no clue what her family did in those days.

    In America that person could get a ticket. Lucky he is just in a candid camera over there.

    ReplyDelete
  4. Haya mambo inabidi kuyakomesha mara moja. Tuanze kuwaambia watu wa majumbani kwetu ili nao baadae wawaambie descendants wao,TUJIHESHIMU NA TUTUNZE MAZINGIRA.

    Lakini kiinglish cha Michuzi "kikali" mno,umeimpruuv kaka. Niliwahi kusoma katuni moja ya Anko Kijasti (Nathan Mpangala), nadhani. Jamaa alikuwa anamuelekeza mzungu kwamba kwao ni Moshi.

    Mzungu kajiulizia kwa kiswahili vizuri tu, "kwenu wapi?". Msela akaona amkoge kidogo mtasha, "I' coming from ze moto ukiwaka ze kutokea kwa juu"!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 12, 2007

    Huyo jamaa hamjamstukia ni Michuzi mwenyewe ana tuzingua tu angalieni vizuri

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 12, 2007

    michuzi ungekuwa majuu saa hizi unachezea jela kwa kosa la kujisadia ovyo barabarani au kwa kosa la kuchafua mazingira.
    mambo ya kizamani sasa yanabidi yasitishwe. ndo maana vipindupindu, visonono na maradhi mengi hayaishi kwa sababu watu wanakojoa na kunya kila kona hadi kwenye geti la Ikulu! Wachafu wakubwa nyie

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 13, 2007

    Sir Issa HABARI ZA LEO MAALIM.."NAONA ULIZIDIWA KIDOGO UKAAMUA KUMPIGA KABARI "...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...