tenti kuuuubwa limewekwa kwa ajili ya kukinga jua watazamaji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2007

    Michuzi hivi hao watu wanapopewa tenda za kazi wanapewa kutokana na ubora wa kazi zao au ndo kujuana na rushwa vimetawala.
    Hilo tenti si jana limemuangukia Kocha wa Yanga hilo? Au sio hilo? Sasa lingemuangukia Mheshimiwa "Mapanki"(Kandoro) si ingekuwa aibu hapo jamani, kiongozi wetu wa kitaifa anangukiwa na tenti?
    Sisemi kwamba Micho hana thamani, lakini nataka tu kuonya hizi tenda ziwe zinatolewa kwa ubora wa kazi jamani. Sio kwa kujuana tu! Haya!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...