mdau dan kay ngowi akibebwa kidedea na kaka zake don, andy, jose na john wakati wa graduesheni yake iliyofanyika chuo kikuu cha northampton univesti cha ukerewe baada ya kulamba nondo ya business na ict. hongera mdau!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 26 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2007

    Hogera sana dogo.kazi tunayo kumrudisha Don -Masawe shule.hogera sana. Don, vipi utakuja lini USA?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2007

    Hongera, lakini Northampton ni college haijapata hadhi ya chuo kikuu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 15, 2007

    Hongera kijana!
    Someni tuijenge nchi yetu,
    Hey halafu sio mkipata hayo ma-international vyeti mnaikimbia nchi yetu.
    Njooni nyumbani tuijenge nchi yetu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 15, 2007

    mdau uliyesema northampton sio chuo kikuu unachekesha, inaitwa university of northampton...www.northampton.ac.uk. kijana unatakiwa uende shule na kuacha majungu

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 15, 2007

    mdau unayesema northampton sio university angalia www.northampton.ac.uk...nenda shule kijana utoe matongotongo ya majungu

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 15, 2007

    Well done bro ! Hope tutakurusha juu juu tena soon ! Keep up the good works
    Chichika

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 15, 2007

    Hongera sana dogo Dan!
    you have achieved something valuable and wonderful in your life. Hope that will be not the end of it, we need to see more of you...smart guy!

    Ema, Bongo.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 15, 2007

    Jamani wabongo kwanini tuna wivu sana lakini Anon July 15, 2007 11:08:00 AM EAT Northampton University sio college ebu check kwenye internet its not fear tupeane moyo ilituendelee au wivu uwe mzuri wakutaka kushinda Hongera Tz Bro im proud of u

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 15, 2007

    Jamani hapo juu nimechemsha badalaa kuandika not fair nimeandika fear haya kweli tunatakiwa kurudi home sasa mimi nimekuwa mkoseaji mkubwa wa spelling mpaka najionea huruma masikini weeeeeeeeee

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 15, 2007

    congratulations!!uncle Dan.Tupo Pamoja...love,Mami.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 15, 2007

    Msameheni jamani kapiga box kwenye cold room mda mrefu sana akili imeganda na ameshtukia kilichompeleka ni kusoma. atueleze yeye kapata ya kwake wapi kama atathubutu

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 16, 2007

    Aisee Rahim hongera sana!

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 16, 2007

    WAKAKA WAZURI WANALIPA KWA KWELI. HONGERENI SANA

    ReplyDelete
  14. AnonymousJuly 16, 2007

    Namfahamu kwa Jina la Dany Kafufui - Mzee Mwamboza Head master wa Lwandai Secondary School alikua anakimbizana nae sana kaka yetu huyu.

    Hongera sana kaka nadhani Kanini, Majata na Mwinuka mwakiona hii aah watafurahi.

    ReplyDelete
  15. AnonymousJuly 16, 2007

    Washkaji nilichemka hapo juu, mnisamehe maana mie nilisoma hapo chuoni Northampton mwaka 2003 mpaka naondoka kwenda Chuo Chengine(Jina Kapuni)Northampton ilikuwa haijapata Cheo Cha Kuwa Chuo Kikuu kwasababu nyingi ikiwemo Royal Decree iliosainiwa na King Henry III mwaka 1265 baada ya Vita vya Lewes, ambayo ilikataza Kuanzishwa kwa chuo kikuu Hapo Northampton. Ila sasa wamepewa hicho cheo mwaka 2005, na mpaka mwaka 2006 mitihani yao ilikuwa ikipitiwa na chuo kikuu Leicester. Mwaka 2007 ndio wamepewa fursa ya kupitisha degree wao wenyewe. Samahanini wadau sio kwamba niko na majungu ila tu nilikosea kutoa maelezo bila ku-update ufahamu wangu. Napenda sana wabongo wawe na nondo za uhakika ili tukaikomboe nchi Yetu.

    ReplyDelete
  16. AnonymousJuly 16, 2007

    Kumbe Ukererewe is UK , nilitaka kushangaaa....

    ReplyDelete
  17. AnonymousJuly 16, 2007

    Bwana Michu, hizi snapu ziishie hapa hapa bloguni, zikifika home office ngoma itakuwa ngumu!! hakuna mtu anaitwa Andy huku, utamponza bure!! ndo mana mkerewe kakataa jina lake lisiwekwe ana akili yake huyo...

    ReplyDelete
  18. AnonymousJuly 17, 2007

    Hongera Dan,sasa wewe siulimaza mwaka wa jana?mbona umegraduate mwaka huu?au ulifeli umerudia mitiani?

    ReplyDelete
  19. AnonymousJuly 17, 2007

    Hongera hatimae umepasi,maana ulitakiwa upasi tokea mwaka wa jana.umerudia mitiani mingapi?

    ReplyDelete
  20. AnonymousJuly 17, 2007

    hongera dogo umemaliza university...hata ingechukua miaka mia tano, watu wanamaliza mwaka huu wanaweza wakafanya graduation miaka mitano ijayo, acha ushamba mdau hapo juu. Hayo majungu, jitahidi na wewe tukuone....wivu wa kibongo hauna manufaa,fanya kweli mwanangu PHD na master sasa!

    MK, Dom.

    ReplyDelete
  21. AnonymousJuly 17, 2007

    congratulate BIG BWOY!...you made it! Im happy for you bwoy....hah hah so many haters, have you become celeb or what?, insteay of aknowledges they shows biff...you know "box" na "kuchambisha vibibi" lazima uwe na roho ya kwanini. fanya kweli wangu....

    Holaaaaa

    ReplyDelete
  22. AnonymousJuly 19, 2007

    hongera mdau!
    nimemaliza northampton university 2005 na sasa nipo sauzi A, na huondio mwaka ilikuwa full uni.....mdau hapo juu na historia zako za king henry 11 hujui unachoandika, bora uache tu. Nampongeza jamaa kwa ku-graduate, university sio mchezo ndio maana wengi wanaanza na hawamalizi, wengine mimba, wengine vichwa barafu tu, wengine wanasoma vyuo vya uchochoroni (unasoma Uk degree inatoka Australia...how?), wengine vyuo vya wakenya/wapopo ili mradi kurenue visa tu..hata hawajui wanasoma nini na watamaliza lini. kwenye graduation yangu UN, tuliograduate wakenya 16, wanigeria 28 na Mtz mmoja..mwenyewe
    Ndugu zangu tusome ili tuendelee na tuache majungu, kwani madegree hayabadilishiki...Hongera mdau
    AK, South A

    ReplyDelete
  23. AnonymousJuly 19, 2007

    ndio kijana!
    Hongera ndugu yangu. rudi kwa bi mkora tufanye mambo sasa. Tunataka vichwa vipya

    coco beach.

    ReplyDelete
  24. AnonymousJuly 20, 2007

    mdau hapo juu unaetoka sauzi africa acha ushamba. kila mtu anamipango yake ulaya, usijione wewe ni mjanja kuliko wenzako. fala weweeee.
    Anyway nilitaka kumpongeza dogo, lakini hilo fala limenitoa stimu...hongera dogo,wengi tulijua hutamaliza lakini umemaliza. Wacha na mimi nirudi shule, ulaya yenyewe bila shulehakieleweki.

    Mwanadimock wa zamani....

    ReplyDelete
  25. AnonymousJuly 24, 2007

    hiyo ni poa sana bwana Dogo kwani hiyo ni kazi ngumu wangapi wameshindwa jitahidi uwe na degree
    7 kama mimi Nurman

    ReplyDelete
  26. you look cute on that suit my uncle but I will look my cuter
    on it at 2013 Im sorry I said
    I got 7 degree I was drunk you
    know I use to drink a lot cocacola
    a lot i hop Im forgiven Norman Iwold like my name to called Norman Kay is it ok

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...