dotnata ni mmoja wa wajasiriamali wanawake mashuhuri bongo ambaye licha ya kupamba na kutoa huduma za chakula na vilaji kwenye hafla mbalimbali pia anajishughulisha na muziki ambapo sasa ametoa albamu moja tayari. namba yake ni +255 754 277 655 kwa mwenye kutaka huduma zake

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 15, 2007

    Ze mukorogo ndani ya nyumba. Hivi ni nani aliwadanganya hawa wanawake kuwa ukiwa na rangi nyeupe utakuwa mzuri? Kweli wanawake mwalimu wao ni kipofu na alishaliwa na simba kwa hiyo hakuna hata kaburi la kwenda kutambikia kuondoa hii laana waliyoachiwa.
    Inasikitisha sana na ni upumbavu uliopindukia.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 16, 2007

    Anon July 15, 2007 7:55:00 PM EAT hivi hao wa hapo juu FM academia walijichuna na mkorogo ni wanawake maana usituonee wanawake tu hata wanaume siku hizi wanajichubua sana ila majority ni wanawake.lakini hata mimi sipendi watu wanaojichubua

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 16, 2007

    sabuni za chunisi bongo kali sana. Sio wote wanatumia mkorogo kwa makusudi ila hamna dematologist wa kumwambia mtu atumie dawa gani kwa ngozi yake hivyo kila mtu ananua fade cream na sabuni kuondoa makovu na hizo sio za acne .....they need proactiv lol http://www.proactiv.com/index.php..

    my 2 cents advice

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 16, 2007

    Michuzi, Dotnata hana email address?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 16, 2007

    Huyu dada weupe wake wala sio wa mkorongo, mimi namfahamu tangu alivyokuwa mdogo alikuwa mweupe hivi hvi

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 16, 2007

    Kaka Michuzi hivi KAOLEWA huyo?

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 16, 2007

    Mheshimiwa ISSA HABARI ZA LEO MAALIM...WAKINA DADA WA KIBONGO SASA HIVI SIO MCHEZO WANAJITAHIDI SANA NIMEFURAHISHWA NA HIYO PICHA...HALAFU SHE IS RICHABO.. TUNASHUKURU KWA KONTAKTI ULIYOTUPATIA.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 16, 2007

    Wewe anonymous wa July 16, 2007 3:42AM, unasema unamjua tangia akiwa mdogo acha uongo, Huyu Dot ana Twin wake ni mweusi, yeye huo ni mkorongo kwenda mbele, ndio maana ngozi inavimba kwa sababu ya mkorogo.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 16, 2007

    anony 8:07:00 AM EAT kama huyo dada weupe wake ungekuwa hivyo tangu mdogo basi angekuwa mwarabu ,mhindi au mzungu!!hebu cheki kwapani na usoni, JIKOROGO la nguvu kishenzi!!Twamjua sisi huyu kuliko wewe tangu anaigiza hadi anakuwa mtaalamu wa ving`asti tunamuona!!

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 16, 2007

    michuzi umetoa number kwa wanaohitaji huduma zake ila tunaomba uspesifai huduma gani? au kama hakuna mipaka sisi tutapiga simu tu kujaribu huduma zake

    ReplyDelete
  11. Piga Kazi mwanamke achana na Longo Longo za wazushi ambao hawana Jipya iwe mkorogo, iwe Rangi si ishu. Maisha Mbele kwa mbele hakuna kurudi Nyuma.
    moafrica

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...