Tafadhali watanzania mpigieni kura MTQI Tanzania ambaye yuko China kwenye mashindano.
Credit card inahitajika na USD 2 hununua kura 10. Naona kuna watu wameshampigia kura lakini tunaomba tusaidiane kwani haba na haba hujaza kibaba.
Pia wapiga kura wanaweza kujishindia zawadi kama mnavyoweza kusoma kwenye website.

Picha za Sophia ni ngumu kupata kwani hawana website moja rasmi kwa hiyo ni kazi haswa. Update ni kwamba mpaka sasa hivi wametembelea miji ya China na jana walifanya mashindano ya Miss Best Smile ambayo ameshinda China. Wanaendelea na mshindano ya Talent na Miss Bikini leo ingawa matokeo yatatangazwa baadaye.

Asanteni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 18, 2007

    Huyo na huyu ninayemwona kwenye hii link ni tofauti au huyu aliyeko ni wa zamani
    FOLLOW this link

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 18, 2007

    Hey guys check this out
    I just got this and I can talk to my family in Tanzania ......

    And I can watch TV and Talk to them on LIVE VIDEO....
    You have to download it ...
    ITS TOTALLY FREE... I don't know when they will start to charge but as of today is free and the sound quality is superb.

    WWW.GLOBE7.COM

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 18, 2007

    Sasa hivi natural katoka Ghana kwa weusi. I like her wengine wazuri lakini wanaonekana wako a little too artificial look.

    Wa kenya si bure kura zake zipo ndogo. Alichukua hiyo picha na marangi usoni...? kulikoni

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 19, 2007

    useless kabsaaa.Sipigi kura kwa upuuzi huu.nonsense tupu

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 19, 2007

    hivi u miss siku hizi umekuwa big deal bongo?watu wanaacha kufanya kazi za maana wanakalia umiss na bongo flava.Hii nchi kweli itaendelea kwa mambo haya?
    Na wewe michuzi unatuwekea huyu hata jina hana eti tupige kura,mmeona huku ughaibuni ni mteremko sio tuache kazi zetu za kipato tuwe tunahangaika kupigia kura uvivu?NO WAY HII SASA TOO MUCH.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 19, 2007

    nami nakuunga mkono kabisa mheshimiwa hapo juu, kula yenyewe 2 dolars, utafikiri zinaokotwa. na sisi wabaya wa sura nani atatupigia kula na kutoa hela yote, CV yake kwanza miss hata haipo tusije tukawa tunapoza hela zetu kwa mtu aliyekimbia shule kwa kuendekeza uzuri wake.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 19, 2007

    CV yake kwanza huyo tunaitaka ndo tuanze kurusha dolars zetu

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 19, 2007

    Nyie wote mnaosema umiss sijui nini acheni ushamba. Kama hampigi kura wengine watapiga. mambo ya kusema bongo tumefanya sijui nini nyie ndo mmepitwa na wakati. Haya mashindano yapo kila mwaka ni kwa vile tu nchi yetu ndio imeanza tena kujiingiza kwa mashindano haya makubwa though ni mda kidogo ila washiriki wetu wa sasa hivi ndio wameanza kuonekana na kujitahidi sana.
    Yalikua toka kitambo sasa kama wewe unazania ndio leo twahangaika IQ yako kwa mambo ya social iko ndogo sana

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 19, 2007

    kaka michu eti flavia alianguka wakati anasubiri kupima ukimwi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...