

mdau wa kigamboni anatupasha kwamba katika sehemu za mjimwema wanachi waliamua kufunga barabara kwa magogo kuishinikiza serikali kuweka matuta, kufuatia mwanafunzi kugongwa na gari na kufa. inasemekana uzalendo umewashinda wakazi wa huko kutokana na matukio mengi ya ajali za watu kugongwa watu katika barabara hiyo yenye lami kutoka kivukoni feri.
HUU NI UKOSEFU WA UTAWALA WA SHERIA KWA VITENDO NA SERIKALI(VIONGOZI) KUTOKUWAJALI WANANCHI WOTE(WALIOPIGA KURA ZA NDIYO NA HAPANA).WATU KUMCHOMA MSHUKIWA WA UHALIFU NI ISHARA YA WATU KUTOIAMINI SERIKALI YAO KUWA ITATENDA HAKI.
ReplyDeleteHivi ujenzi wa daraja la kigamboni utakuwepo kweli?????....Hivi Serikali inahitaji tu kura za wananchi wa sehemu hii ya kigamboni?..jamani huu ni unyanyasaji,lakini kuwapatia maendeleo ni mgogoro....watu wa kigamboni wanapata taabu sana pale kwenye kwenye kivuko..mapantoni mabovu,kweli serikali inashindwa kuwajengea daraja??...au kwa vile inapata sana fedha kutotokana na mapato ya pantoni???
ReplyDeleteKwani kigamboni kuna uchumi gani wakufanya serikali ipeleke mabilioni kujenga daraja. Ni kwa vile hao watu wachache wamejenga nyumba huko sasa wanaona ni kazi kuzunguka kupitia mbagalla?
ReplyDeleteTunahitaji kujifunza jinsi ya kuallocate hela ya umma. Ingekua kuna viwanda au maofisi yanayohitaji watu kuenda kwa haraka haraka kweli.
tufikirie kwanza sio kuona george washington bridge basi nasisi tujkakamue tujenge.
I don't see the need of that bridge for real for now.
Sio kwa vile serikali inapata mapato kwa ajili ya pantoni. Ikiwekwa daraja pia wataweka toll ya kuimaintain. Na watu wakiona toll tena wataanza kusema ni nyingi bona pantoni letu....
ReplyDelete