mh. freeman mbowe wa chadema alikuwepo kwenye uzinduzi wa kupima ngoma kwa hiyari


mh. profesa ibrahim lipumba wa cuf alikuwepo kwenye uzinduzi wa kampeni ya kupima ngoma kwa hiyari leo asubuhi viwanja vya bustani ya mnazi mmoja gadren tukio ambalo lilirushwa laivu na itv na channel 10 na redio wani na star tv na redio free africa na mlimani redio

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2007

    Michuzi vipi mzwee wewe uliogopa kwenda nini? naona ulikuwa zako sebuleni unazifyotolea kwa mbaliii hahaa man inataka moyoo.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 15, 2007

    kupima ngoma kaaaaaaaazi kweli kweli!nawapa hongera wale wote ambao wamepima.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 16, 2007

    Kupima ngoma sio kazi hata kidogo, kanzi ni kupokea matokeo, na kupokea pia unaweza tatizo litakuja kwenye KUYAFUNGUA kuona kilichoandikwa!!!! hapao kaaaazi kwelikweli na yataka moyo. eti mimi nilifikiri hao viongozi waliopima hapo majibu yao tungetangaziwa au kuonyeshwa moja kwa moja damu ikipita kwenye vipimo vyote vya Test1 and 2 LIVE kwenye TV!!!! Nawasilisha...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...