namshukuru mdau wa london kwa kunileta chombo hiki leo. na bahati yao portsmouth wamechomoa leo kudadadadeki...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. mzee michu,mwaka huu hamuendi kokote.nguvu ya soda tu nyie.

    ReplyDelete
  2. Aliyechomoa nani???Usinichekeshe ligi ndio kwanza inaanza.Kuifunga Derby sio kuwa bingwa.Kanu kakosa penelti leo ama sivyo tungezungumza mengine.Kwa rotating policy ya kocha wenu hamwendi popote.Kocha mwenye akili habadili timu inayoshinda labda imlazimu kufanya hivyo.Kocha wenu kalalamikiwa lakini bado anadai ataendelea na rotating policy.

    ReplyDelete
  3. Naona away jersey yenu nzuri kidogo,mnajitahidi..lakini leo Pompey walikuwa wanatoa nyie basi tuu mna bahati..igeni mfano mzuri wa the Gunners..vijana wazuri sana wale Misoup heheh..wenzako The blues wanatolewa jasho mpaka sasa na Blackburn..Arsenal league yetu sasa hehehe..wkend njema...mdau b/ham

    ReplyDelete
  4. salama mdauzzzzzzz ,ile issue ya tvt ilishindikana kabisa mbona hamna taarifa??

    ReplyDelete
  5. POLE NA SWAUMU MICHUZI

    ReplyDelete
  6. livapul tatizo lenu mnatumia nguvu kuliko maarifa,matokeo yake hata mwaka huu ubingwa hampati.

    ReplyDelete
  7. wakutumie tu hata jezi mia ila sie aka! wii ilopita 3-1,wiki hii 3-1 na wiki ijayo ndo tuko na derby.. madharaaaaau, ati shisha!!

    ReplyDelete
  8. Jamani ligi ndio kwanza imeanza maneno kibao. Haya!! Ngoja Decemba na Januari zifike tuone nani ni nain.

    ReplyDelete
  9. bro michu mimi arsenal damu..nikukuletea jezi yetu utavaa?

    ReplyDelete
  10. Subirini X-masi ndio bingwa anajulikana au baada game kama 15 hivi sio kama arsenal na Liverpool mpaka sasa wanafanya vizuri ila Liverpool na arsenal wanauwezo wakuchukuwa, chelsea na Manchester united kama kawa kawaida yao ya ma manager wao kusizema timu za watu baada kulalamikia matatizo yao wenyewe? wivu wao ushaanza mapema liverpoolfc au Arsenal wanachukuwa hasa Arsenal. jana kama liverpool angeweka timu ya ushindi ingeshinda poth si watu wakuzauriwa sioni chelsea wala manchester kufunga arsenal au liverpool na chelsea atamfunga manchester, arsenal to win all the way.

    ReplyDelete
  11. Nasikia Mecky Maxime amepata deal anakwenda chezea Liverpool jamani, ni kweli?
    Michuzi nasikia analijua deal hili na ndio kisa jamaa kaomba kujitoa stars. Jamaa kaula UK, duh!
    Mwenye habari kamili nijulishe tafadhali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...