waziri wa habari, utamaduni na michezo mh. muhammad seif khatibu (kulia) na rais wa shirikisho la soka leodegar chilla tenga (tatu kulia) wakikaribishwa na mabosi wa vodacom katika hafla ya kutia sahihi mkataba mpya wa miaka 5 ambapo vodacom itamwaga bilioni 4 kudhamini ligi kuu inayoanza jumamosi hii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. nadhani huu muda ni muafaka TFF mkatueleza mihela kiasi gani mnazoa kwa mwaka,just for sake of transparency,maana nasikia NMB mnavuta 300m,serengeti 700m,FIFA 250m,CAF50m,sasa tena vodacom4bn,bado 600m uwanja mpya,230m mechi ya uganda,bado vyanzo vingine kama vile parking mechi ya msumbiji,kuuza duplicate jersey,mmmhhhh orodha ni endeless.tupeni mchanganuo jamani wa matumizi jamani isije ikawa zinaishia tumbo street.

    ReplyDelete
  2. with due respect kwa Mheshimiwa Rais wetu,mi naona hiki chumba na nature ya kikao haikuwa sehemu muafaka ya kuingia na bodigadi(ADC).jamaa angebakia nje tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...