Wasanii wa sauti ya handaki(undeground), Katika harakati.
Madjei, ma emsii, machata, michoro mbali mbali, ushairi, mabreka maigizo na usanifu mitindo.

Mahali: British Council, Dar Es Salaam
(maelekezo: Samora na Ohio, mkabala na Steers kati kati ya jiji)
Jumamosi, 29-09-2007
mida; saa 6 -mchana-hadi 11 jioni
Mada ya mwezi: Amani Tanzania, Baraka au Laana?
karibuni wote
kiingilio BURE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...