kocha mkuu wa simba jamhuri kihwelo 'julio, na kocha msaidizi madaraka bendera kwenye benchi la ufundi la klabu hicho cha mtaa wa msimbazi ambapo mambo yanaelekea kwenda mrama baada ya prisons ya mbeya kuwadunyua 1-0 huko uwanja wa sokoine, mbeya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Julio huwa unachonga sana! Huo ndo mwanzo wa ligi kwa Simba uliokuwa umedai baada ya kuwabahatisha Mtibwa? Ndugu yangu mpira ni uwanjani na Siyo mdomoni.Hizo longolongo zako zinasaidia sana kuzipa timu pinzani morali ya kuishushia kipigo Simba!

    ReplyDelete
  2. Simba mkiendelea kuwa na viongozi wa namna ya Dalali, Gumbo, Kadu na wenzao katika karne hii msitegemee kupata mafanikio!!!

    ReplyDelete
  3. Mpira umewashinda uwanjani mpaka mnatangaza bifu na Radio One.

    Kwa wiki kadhaa sasa Radio One haitangazi habari yeyote inayohusu klabu ya Simba.

    Kazi ipo mwaka huu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...