pasi ya paparazi kwa ajili ya shoo ya bw. cooper usiku wa leo ukumbi wa diamond jubilee holi, dar. kiingilio kwenye vituo maalumu ni fifte na mlangoni ni sikste.




mojawapo ya magari ya waandaji. bw. cooper mwenyewe anatumia limo



vikalio vya vip

zuria jekundu latandikwa
















matenti ya wadhamini yakiandaliwa


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. ..jamani mambo ya comedy yanaenda na culture,isije mkawa offended na jokes zake kumbe kwao ni joke kwenu ni taboo na sijui hata kiingereza wengi kama mtamuelewa,hapo mmechemsha naona bora mngetumia locals tuu...asije kuanza kusema this mafaka president mutherfucker fucker baby mama lakwisha mkaona katukana

    ReplyDelete
  2. Cha kwanza lugha itapanda kwa wabongo hapo kweli? Si unajua wanugu tena mwendo wa kasi. Mimi mwenyewe niko huku huku kwao lakini bado ni challenge kuwaelewa wanaongea nini sometimes.

    ReplyDelete
  3. Yaani nitoe ELUFU HAMSINI zangu kisa kwenda kumwangali Mr. KUPA!
    Hamjanipata. Si bora hizo nikanunue nyama na maharagr nile na wanangu.
    Wakati Joti na Masanja nawaangalia buuuure kwenye Ze komedy.
    Si UJINGA huo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...